• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Halmashauri ya Mji Njombe
Halmashauri ya Mji Njombe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Halmashauri ya Mji Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MWENGE UHURU KUPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 2,173,596,859.00 KATIKA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE

Tarehe iliyowekwa: June 17th, 2024

Juni 17,2024 Mkuu wa wilaya ya Ludewa Mhe.Victoria Mwanziva amekabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa Katika Kata ya Matola ,Kijiji cha Boimanda.

Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Halmashauri ya Mji utapitia, kukagua na kuzindua miradi 6 na shughuli 2 kati ya hizo 1 ikiwa ni ukaguzi wa klabu ya kupambana na Rushwa na Shughuli nyingine ni uzinduzi wa wimbo wa uhamasishaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa.


Kwa upande wa miradi  Mwenge wa Uhuru utazindua miradi 3 na kukagua miradi 3.

Katika kata ya Matola Mwenge wa Uhuru utazindua vyumba 3 na ofisi 1 vyenye thamani ya shilingi 79,050,552.00 katika Shule ya Msingi Boimanda.


Hata hivyo katika kata ya Uwemba Mwenge wa Uhuru utafanya Ukaguzi wa Msitu wa  asili wa  Isililo wenye ukubwa wa hekta 58.8 wenye  thamani ya shilingi 189,229,000

00 pamoja na kugawa mizinga 10 kwa kikundi cha wafugaji wa nyuki.


Aidha katika kata ya Yakobi Mwenge wa Uhuru utakagua shamba la parachichi la mwekezaji Frank Msuya lenye ukubwa wa ekari 200 ambalo uwekezaji wake ni shilingi billioni 1.


Katika kata ya Mjimwema  Mwenge wa Uhuru utafanya  uzinduzi wa kituo cha mafuta cha Amoil ambacho uwekezaji wake ni zaidi ya millioni 721,083,707.00


Wakati huo huo katika, kata ya Njombe Mjini Mwenge wa Uhuru utafanya Ukaguzi wa kikundi cha vijana cha Sungura Njombe (SUNJO) ambao ni wanufaika wa mikopo inayotolewa na Halmashauri ambacho mpaka sasa kikundi kina thamani ya shilingi milioni 30.


Na katika kata ya Ramadhani  Mwenge wa Uhuru Utazindua jengo la mama na mtoto katika hospitali ya Mji Njombe (Kibena) ambalo limejengwa kwa shilingi milioni 173 ,167,000.00


Kauli mbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 inasema "Tunza mazingira na shiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu".

Matangazo

  • KUITWA KAZINI NA MAFUNZO TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 21, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 19, 2025
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTAKA AONGOZA MAOMBI YA AMANI KWA TAIFA.

    November 07, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO NJOMBE MJINI AFUNGUA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA .

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 366 WAAPISHWA NA KUPATIWA MAFUNZO JIMBO LA NJOMBE MJINI.

    October 25, 2025
  • KUBWA KULIKO KUWAHI KUTOKEA NJOMBE MJINI

    October 20, 2025
  • Angalia zote

Video

TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe