• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA NA UWEKEZAJI KATIKA KILIMO CHA ZAO LA PARACHICHI

Tarehe iliyowekwa: June 17th, 2024

Shamba la parachichi la Mwekezaji Frank Msuya lenye ukubwa wa hekari 200 na thamani ya uwekezaji wake ikiwa ni Bilioni 1 lililopo kata ya Yakobi kijiji cha Nundu ,limekaguliwa na kuwekewa kibao cha ukaguzi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Juni 17,2024.


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg.Godfrey Mnzava ameipongeza serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kuwajali wawekezaji nakuwafikishia mahitaji muhimu kwenye maeneo yao ya uwekezaji ikiwemo,Miundombinu ya barabara ,maji na umeme pamoja na ruzuku kwenye mbolea na viatilifu vinavyotumika kwenye kilimo.


Uwekezaji katika shamba hilo la  linalofahamika Havila Farm ulianza mwaka 2010 kwa kupanda miche 1,235 kwenye  ekari 16. Hadi kufikia mwaka 2023, ekari 115 zimepandwa miche ipatayo 12, 000


Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2024 zinaongozwa na kaulimbiu isemayo "Tunza mazingira na shiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu.

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA NA UWEKEZAJI KATIKA KILIMO CHA ZAO LA PARACHICHI.


Shamba la parachichi la Mwekezaji Frank Msuya lenye ukubwa wa hekari 200 na thamani ya uwekezaji wake ikiwa ni Bilioni 1 lililopo kata ya Yakobi kijiji cha Nundu ,limekaguliwa na kuwekewa kibao cha ukaguzi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Juni 17,2024.


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg.Godfrey Mnzava ameipongeza serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kuwajali wawekezaji nakuwafikishia mahitaji muhimu kwenye maeneo yao ya uwekezaji ikiwemo,Miundombinu ya barabara ,maji na umeme pamoja na ruzuku kwenye mbolea na viatilifu vinavyotumika kwenye kilimo.


Uwekezaji katika shamba hilo la  linalofahamika Havila Farm ulianza mwaka 2010 kwa kupanda miche 1,235 kwenye  ekari 16. Hadi kufikia mwaka 2023, ekari 115 zimepandwa miche ipatayo 12, 000


Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2024 zinaongozwa na kaulimbiu isemayo "Tunza mazingira na shiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu".


@njombe_rs @kissagwakisakasongwa @ms_mhaiki

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe