• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

NI LAZIMA VYANZO VYA MAJI VILINDWE

Tarehe iliyowekwa: May 14th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mheshimiwa Anthony Mtaka Mei 14,2024 amekemea vikali kufanyika kwa shughuli za kibinadamu ikiwemo kulisha mifugo  pamoja na kufanya kilimo kwenye vyanzo maji. 

Hayo yamejiri kwenye ziara aliyoifanya Wilaya ya Ludewa kata ya mavanga, kijiji cha mavanga ambapo wananchi wililamikia  uchafu wa maji kwenye mradi unaotekelezwa kijijini hapo wenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.3 utakaohudumia  wakazi wapatao 5,000.

"Ni kweli dinga zipo,lakini maji yanachafuliwa na shughuli za kibinadamu ,mtashikana uchawi bure lakini wachawi ni sisi wenyewe ,Mhe. Rais  ameshatimiza wajibu wake fedha zimefika,wekundu wa maji unasababishwa na ngo'mbe" Alisema Mhe. Mtaka. 

Mhe. Mtaka ametoa wito kwa Viongozi wa kijiji na kata kushirikiana  katika kujiwekea sheria ndogondogo kwa ajili ya kulinda vyanzo vya maji kwa faida ya kijiji na taifa kwa ujumla.


“Kwenye WADC wekeni sheria ,mkitaka mtusaidie watu wenye ngo'mbe kwenye eneo la chanzo watoe ngo'mbe ,watu wanaolima kule karibu na chanzo watoke,kwa sababu kuna siku mradi utakamilika maji yatakuwa hayatoki chanzo kitakuwa kimekauka.”Alisisitiza

Aidha amempongeza  mkandarasi mzawa anaetekeleza mradi huo Emirate Builders Co. Ltd kwa kuonesha uzalendo.


“Tunahitaji wakandarasi  kama Emirate ametekeleza  mradi mpaka hatua hii kwa malipo ya asilimia 15,tungekuja hapa tukute mawe mashimo na picha nzuri ya tenki la maji lakini ametumia fedha ya mtaji wake ,lakini pia amekubali  maboresho ya nyongeza,mnapopata miradi mingine watu wa hivi wapeni .”

Utekelezaji wa mradi huo wa kijiji cha Mavanga unalenga kuimarisha miundombinu ya mradi wa awali kwa kujenga miundombinu mipya, kupanua mtandao wa maji na kuongeza huduma ya maji kutoka kwenye chanzo kipya cha mto Msolwa.


Naye mhandisi wa mradi huo Ombeni Mwanri kutoka kampuni ya Emirate Builders Co Ltd alisema mradi huo umefikia asilimia 97 na kuahidi kufanyia kazi maagizo yote yaliyotolewa ili mradi ufanye kazi kwa ufanisi unaotakiwa. 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe