• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

NJOMBE KUENDELEA KUWA SAFI NA KIJANI

Tarehe iliyowekwa: September 29th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Kissa Gwakisa Kasongwa amesema kuwa bado kuna nafasi kubwa ya kuendelea kuifanya Njombe kuwa safi na kijani muda wote kutokana na kuwa Mkoa wa Njombe haujapata athari kubwa za uchafuzi wa mazingira ukilinganisha na Miji mingine mikubwa ambayo idadi ya watu ni kubwa na uchafuzi wa mazingira upo kwa kiasi kikubwa.

Hayo yamezungumzwa mara baada ya kupokea ugeni kutoka katika Mji wa Miltenberg Nchini Ujerumani  ambao ni Mji rafiki na Halmashauri ya Mji Njombe, ikiwa ni hatua ya awali  za uanzishaji wa mradi wa kuhakikisha kuwa Njombe inakua safi na kijani, lengo kuu la pili ikiwa ni kuweka nishati mbadala rafiki wa mazingira katika maeneo ya umma kwa kuongeza matumizi ya nishati jua (solar) kwenye maeneo hayo.

“Ninafuraha sana kuwa nanyi leo, Wilaya ya Njombe yenye Halmashauri tatu asilimia kubwa ni ukanda wa miti na misitu. Changamoto kubwa tunayokabiliana nayo hususani katika kipindi hiki cha kiangazi  ni uwepo wa moto kichaa ambao unapelekea uharibifu mkubwa wa mazingira na pia kuharibu pato la mtu mmoja mmoja na la Halmashauri kwani yapo mapato yatokanayo na mazao ya misitu yanayochangia kwenye pato la Halmashauri.

Aliendelea kusema sababu kubwa zinazochangia uwepo wa moto kichaa ni pamoja na shughuli za maandalizi ya mashamba wakati wa  kilimo na Wananchi kupanda miti bila kufuata ushauri ikiwa ni pamoja na kuweka njia kwa ajili ya kuzuia moto,jambo ambalo Kissa amesema kuwa ni vyema katika program hiyo ikaona namna ya kuweza kutatua changamoto hii ili kuendelea kuilinda misitu yetu na kuwa na utunzaji bora wa mazingira.

Katika hatua nyingine Kissa amefurahishwa na hatua ambayo Mji wa Miltenberg imefanya ya kuhakikisha kuwa Wananchi wanajikwamua kiuchumi kwa uzalishaji wa bidhaa mbalimbali kama vile vinywaji na bidhaa hizo zinapopelekwa sokoni kiasi cha fedha kinachotokana na mauzo hutengwa na kurudishwa kwa wazalishaji hao  ikiwa kwa ajili ya kuwawezesha wazalishaji wa bidhaa hizo kuongeza kipato na kuhakikisha kuwa wanakuza biashara zao.  

Mji wa Milternberg ni Mji ambao asilia yake inafanana na  Wilaya ya Njombe na Wanging’ombe kwa kuwa na hali ya hewa ya baridi kali, upepo na pia zaidi ya asilimia 70 ya Mji huo ukiwa umezungukwa na misitu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe