• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

NJOMBE YAANZA KUFUNGUKA KIMATAIFA

Tarehe iliyowekwa: September 27th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka leo amepokea ugeni kutoka katika Jiji la Miltenberg Nchini Ujerumani ikiwa  ni hatua za awali za uanzishaji wa mradi wa kuhakikisha kuwa Njombe inakua safi na kijani, lengo kuu la pili ikiwa ni kuweka nishati mbadala rafiki wa mazingira katika maeneo ya umma kwa kuongeza matumizi ya nishati jua (solar) kwenye maeneo hayo. Ushirikiano ambao ulioanzishwa kati ya Mji wa Miltenberg   na Halmashauri ya Mji Njombe.

Akizungumza mara baada ya kupokea ugeni huo uliofika ofisini kwake kwa lengo la kujitambulisha na kuelezea adhma ya mashirikiano hayo, Mtaka alisema kuwa Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa Mikoa Tanzania ambayo inafursa nyingi za kiuchumi ikiwemo kilimo cha matunda na hivyo ujio huu umekuja katika wakati muafaka ambapo moja ya vipaumbele vya Mkoa ni kuhakikisha kunakuwa na mazingira bora na wezeshi kwa sekta binafsi kufanya shughuli za kiuchumi Mkoani Njombe.“Sisi kama Mkoa pia tunalojukumu kubwa la kuhakikisha tunaboresha Sekta ya Elimu kwa Wanafunzi wetu kwa kuwa na ufaulu bora hivyo ni vyema tukaona namna bora ya kuwa na programu za kubadilisha uzoefu katika elimu kati ya Mji wa Miltenberg ili kuweza kufanya maboresho lakini pia kujifunza vitu vipya kupitia program hizo hali kadhalika kwa Wafanyabishara ambao wataweza kuja kwetu na sisi kwenda kwao kujifunza ili kuimarisha biashara zao.”Alisema Mtaka

Aidha, kupitia mradi huo manufaa mengine yatakayotokana na ushirikiano huo ni pamoja na kuhakikisha kuwa uboreshaji wa ukusanyaji na uhifadhi wa taka ngumu unafanyika kwa njia za kisasa ambazo hazitaleta athari kwa mazingira na  kusarifu taka ngumu na kuzifanya kuwa  mbolea na nishati ya umeme katika Mji wa NjombeMara baada ya kukamilika kwa ziara yao ya siku tano Mjini Njombe ugeni huo utawasilisha andiko maalum

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • SIKU NNE ZA KUSIKILIZA KERO NA MAONI YA WANANCHI LIMEHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.

    June 30, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe atoa wito kwa Wananchi kujitokeza kupata huduma Stendi ya Zamani.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe