• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

PROFESA MKENDA AJIONEA WAZI MAGEUZI SEKTA YA ELIMU MAKOWO

Tarehe iliyowekwa: September 20th, 2024

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof.Adolf Mkenda Septemba 20,2024 ,akiwa katika ziara ya kukagua miradi Mkoa wa Njombe,ameweka jiwe la msingi kwenye shule mpya ya sekondari Makowo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 583, inayohudumia watoto wa kijiji cha Makowo ,Ngelamo na Mamongolo katika Halmashauri ya Mji Njombe mkoani Njombe.


Awali kata ya Makowo haikuwahi kuwa na shule ya Sekondari hivyo kupitia mradi wa Sequip Shule mpya ya Sekondari Makowo imejengwa ili kuboresha mazingira ya elimu na kupunguza msongamano na changamoto kwa watoto wa vijiji vya Makowo ya kutembea umbali mrefu zaidi ya kilomita 5 kwenda shule iliyopo kata ya jirani, jambo ambalo lilisababisha wengi wao kutokupenda shule na wengine kuacha masomo.


Shule mpya ya Sekondari Makowo  iliyopo kilomita 85 kutoka makao makuu ya Halmashauri tayari imeanza kutumika ikiwa na wanafunzi wa kidato cha kwanza 92 wavulana wakiwa ni 38 na wasichana 54.


Miundombinu iliyojengwa shuleni hapo inajumuisha Jengo la utawala moja (1),vyumba vya madarasa ya kisasa nane (8), ofisi mbili (2), maabara tatu (3) za sayansi, maktaba,chumba cha kompyuta (ICT Room) na miundombinu mingine muhimu ikiwemo matundu ya vyoo na kichomea taka.


Aidha ili kuendelea kuboresha mazingira kwa wanafunzi wanaosoma shuleni hapo wanachi wa Kata ya Makowo tayari wametoa fedha shilingi milioni 27 kwa ajili ya ujenzi wa bweni huku Halmashauri ya Mji Njombe kupitia fedha za mapato ya ndani ikiwa tayari imetoa shilingi milioni 50 kwa ajili ya bweni ambalo linatarajiwa kukamilika nakuanza kutumia ifikapo Januari 2025.


@wizara_elimutanzania @professoradolfmkenda @ortamisemi @kissagwakisakasongwa @ccm_dijitali @njombe_rs @uvccm_wilaya_njombe @uvccm_njombe @dc_njombe @ikulu_mawasiliano @maelezonews @samia_suluhu_hassan

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe