• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

PROGRAMU YA USHIRIKIANO KATI YA VYUO VIKUU VYA CANADA,CHUO CHA MAENDELEO NJOMBE KATIKA KUFANIKISHA NDOTO YA MWANAMKE

Tarehe iliyowekwa: November 21st, 2022

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuruthum Sadick leo amepokea Ugeni uliohusisha Wawakilishi  kutoka katika Vyuo Vikuu vinne Nchini CANADA, lengo ikiwa ni kutambulisha programu iitwayo “Ndoto yangu ni dhahabu” itakayowawezesha Wanawake na Vijana wa Kike kupata elimu kupitia mafunzo ya kiufundi, kukuza vipaji vyao, kujengewa uwezo juu ya usawa wa kijinsia na kukabiliana na ukosefu wa ajira.

Jacqueline Towell Meneja wa Miradi na Mahusinao ya Kimataifa  kutoka Kampasi  la  Oshawa Nchini Canada amesema kuwa Mpango huo wa uwezeshaji ufundi stadi unaotekelezwa na Umoja wa Vyuo Vikuu vya Canada Kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania kupitia Idara ya Elimu na Ufundi Stadi (VETA), Chuo Cha Maendeleo Njombe, Shirika la COCODA na Maafisa Maendeleo wa Halmashauri utatekelezwa kwa kipindi cha miaka 7 kuanzia mwaka 2021-2028, ambapo katika miaka 4 ya kuanza kwa programu hiyo timu ya Wataalamu kutoka Nchini Canada watashirikiana kufanya kazi kwa pamoja na kubadilishana uzoefu katika maeneo mbalimbali ikiwemo usawa wa kijinsia, haki za binadamu, mazingira, afya na usalama na  masoko.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuruthum Sadick amepongeza hatua hiyo kubwa ya Kimaendeleo na amesema kuwa  programu hiyo ni muhimu hususani  kwa Vijana wa Kike  ambao walishindwa kuendelea na Shule kutokana na kupata Ujauzito na wengine sababu mbalimbali za kimaisha na kupelekea kushindwa kuendelea na mfumo rasmi wa elimu ambao kwa sasa wapo katika Vyuo hivyo vya Maendeleo. Kuruthum amesema kuwa  programu hiyo itawasaidia katika kuongeza ubunifu na ufanisi zaidi katika shughuli watakazokuwa wanazifanya kupitia programu hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe