• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

RAI YATOLEWA KWA WAFANYABIASHARA NJOMBE KUTUMIA FURSA TAMASHA LA UTAMADUNI

Tarehe iliyowekwa: August 25th, 2023

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Balozi  Dkt .Pindi Chana ametoa rai kwa Wafanyabiashara wa Mkoa Njombe kuhakikisha wanatumia fursa mbalimbali za uchumi katika Tamasha la pili la Utamaduni ma Michezo  kitaifa ili kujiingizia kipato.


Amesemahayo Mhe Balozi Pindi Chana alipokuwa akizungumuza na wananchi wa Mkoa wa Njombe katika Uzinduzi wa Tamasha la Pili la Kitaifa la Utamaduni Mkoa wa Njombe ambapo amewaomba  wakazi wa mkoa wanjombe kuhakikisja wanatumia fursa hiyo ili kujikuhakikisha wanapata faida katika biashara zao ambazo wanaziunza .


Akiendelea kuzungumza Mhe Balozi  Pindi Chana  amesema kuwa Wizara ya Utamaduni Sanaaa na michezo wamejipanga kuhakikisha wanatanua wingo kwa kila mkoa katika uchumi na kuwawezeaha vijana katika utamaduni ambapo kwa sasa asilimia 30%wamejiajili kupitia sekta ya Utamaduni ,Sanaa na michezo .


 Katika uzinduzi huo Mhe Pindi Chana amewaomba Watanzania kuhakikisha wanadumisha utamaduni wa asili na kuilinda amani ya nchi yetu ambayo ni Tunu ya Taifa letu .


Kwaupande wake Mhe Kissa Gwakisa Kasongwa Mkuu wa wilaya Njombe ambaye alimwakilisha mkuu Mkuu wa mkoa wa Njombe Antony Mtaka katika uzinduzi huo ameishukuru serikali kwa kuleta tamasha hilo katika mkoa wa njombe  huku akiwaomba wananchi wa mkoa huo kunufaika na tamashailo ambalo limefungu fursa mbalimbali za uchumi kwa wananjombe


Naye Mwenyekiti wa Umoja wa Machifu Tanzania Antonia Sizya amesema kuwa Maadili yakizingatiwa yatasaidia Kuiweka Jamii ya Watanzania pamoja huku Machifu wenyeji wa Mkoa wa Njombe Wakisema Kuwa Ujio wa Tamsha Hilo umekuwa na Faida Kubwa.


Kauli Mbiu ya Tamasha la pili la utamaduni inasema, "Utamaduni ni Msingi wa Maadili, Tuulinde na Kuendeleza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe