• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

RAIS SAMIA AWATAKA VIONGOZI KUWATUMIKIA WANANCHI

Tarehe iliyowekwa: August 10th, 2022

Wakizungumza kwa wakati tofauti Mawaziri walioambata  na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Ziara yake Mkoani Njombe wamesema kuwa yapo mambo mengi ambayo yamefanyika kwa muda mfupi ambao Wananchi wa Tanzania inabidi kujivunia.

Dkt. Pindi Chana Waziri wa Maliasili na Utalii amesema kuwa  kupitia program  ya "The Royal Tour" Tanzania imefunguka na imekua ikipokea wageni  kutoka mataifa mbalimbali kote  duniani. "Wageni hawa wanapokuja Tanzania siyo tu kwakuwa Tanzania ipo kwenye ramani, lakini pia suala la uongozi bora, siasa safi na uhuru wa kisiasa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.Zipo nchi zingetamani sana kupata wageni kama Tanzania lakini wakiangalia nchi hizo hazijatulia kwa mapigano, hazijatulia kisiasa – hata ukisema wageni waje inakuwa si rahisi"Amesema Pindi Chana

Akizungumza kuhusu hali ya utalii kwa upande wa nyanda za juu kusini Waziri amesema kuwa kwa sasa idadi ya Watalii imeongezeka   ambapo takwimu zinaonesha Ruaha National Park watalii wametoka takribani 9000  mpaka 1300 na Kitulo watalii sasa hivi hawapungui 1200.

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema kuwa mnamo tarehe 08 Rais Samia alizindua skimu ya kutoa ruzuku ya mbolea ambapo Mkoa wa Njombe unamawakala wengi wa mbolea. Waziri Bashe amewataka Mawaka la hao  kuwa bei ya mbolea iliyozinduliwa na Mh. Rais na ambayo itatangazwa kwa kupitia magazeti na televisheni, itakayoanza tarehe 15 mwezi wa 8. Bei hiyo ni moja kuanzia Dar es Salaam mpaka mwisho wa Tanzania ikiwa kijijini au mjini.

Hamad Masauni Waziri wa mambo ya ndani amesema kuwa Serikali inakuja na Mpango kabambe wa kuboresha makazi ya Polisi na Ofisi ambapo kwa Njombe licha ya kuwa kituo Cha kisasa umefanyika katika Wilaya ya Wang'ing'ombe, Serikali pia inaendelea na Ujenzi wa ghorofa kwa ajili ya makao makuu ya polisi.

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema kuwa Wizara yake imekusudia  kupunguza gharama za kupata matibabu nchini ili   kuwapunguzia mzigo Watanzania kwa kulipa fedha nyingi kwa ajili ya kupata huduma katika hospitali zetu ikiwa ni pamoja na gharama za kumuona daktari ikiwa gharama za sasa ni Shilingi 15000 jambo ambalo linafanyiwa tathmini.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano huo ameipongeza Halmashauri kwa kuendelea kukusanya mapato ya Halmashauri vizuri na ametaka jitihada zaidi kuongezwa kwenye ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri kwani uwezo wa kukusanya zaidi upo. Rais Samia amewataka Viongozi kufanya Kazi kwa bidii na kuwatumika Wananchi na pia Wananchi kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa kutosha kwa viongozi wao ili kufikia malengo kusudiwa.






Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe