• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

RC MTAKA AUNGANA NA WANANCHI LUNYANYWI KUJIANDIKISHA

Tarehe iliyowekwa: October 11th, 2024

Tarehe 11 Oktoba 2024 ,Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe Anthony Mtaka amejiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura wa Serikali za Mitaa katika Ofisi ya Mtaa wake wa Lunyanywi uliopo Kata ya Mji Mwema , Halmashuauri ya Mji Njombe.

Akizungumza mara baada yakujiandikisha  na wananchi waliofika kwenye kituo hicho Mhe.Mtaka ametoa wito kwa wananchi wote wa Mkoa wa Njombe kujiandikisha ili waweze kushiriki kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Tarehe 27 Novemba 2024 .

" Niwaombe sana wananchi wote wa mkoa wa Njombe kila mtu mwenye sifa ahakikishe anajiandikisha kwenye orodha,sifa ni chache uwe mtanzania ,mwenye umri wa miaka 18 na zaidi ,mkazi wa eneo husika na mwenye akili timamu uchaguzi huu ni muhimu sana."Alisema Mhe.Anthony Mtaka -Mkuu wa Mkoa wa Njombe.


Pia, amesisitiza kwamba kadi ya mpiga kura haitatumika katika uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na amewataka wananchi kutumia vizuri muda wa siku 10 za kujiandikisha ili kuwawezesha kuwa na sifa ya kuchagua viongozi wanaoweza kufanya maamuzi sahihi.

Viongozi wa dini na viongozi wa vyama vya siasa pia wamehimizwa kutumia nafasi zao kuhamasisha waumini wao kujiandikisha na kushiriki kwenye uchaguzi.


Aidha ametoa wito  kwa wale wanaopanga kugombea kuchukua fomu katika maeneo yao, huku vyama vya siasa vikitakiwa kuwasimamisha wagombea bora.

Zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa Limeanza Rasmi na litaemdelea mpaka Tarehe 20 Oktoba 2024.


"Serikali za Mitaa Sauti ya Wananchi Jitokeze Kushiriki Uchaguzi".

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe