• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO,KINGA KWA MAENDELEO YA MIFUGO

Tarehe iliyowekwa: July 5th, 2025

Na,Ichikael Malisa

Katika kuhakikisha kuwa sekta ya mifugo inakuwa endelevu na yenye tija kwa wafugaji, Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza rasmi kutoa ruzuku ya chanjo kwa mifugo ili kudhibiti magonjwa yanayoweza kuzuilika na hivyo kupunguza hasara kwa wafugaji.
Chanjo ni njia salama, rahisi na yenye ufanisi mkubwa wa kuzuia magonjwa kwa wanyama. Magonjwa haya mfano homa ya mapafu kwa ng’ombe,kideri,mafua makali kwa kuku na ndui kama yasipozuiwa mapema, huweza kuathiri uzalishaji, kuleta vifo kwa wanyama na hatimaye kuwasababishia wafugaji hasara kubwa kiuchumi.

Halmashauri ya Mji Njombe imepokea ruzuku ya chanjo dozi 227,000 kwa ajili ya kuwahudumia wafugaji wa maeneo mbalimbali ndani ya halmashauri,zoezi ambalo tayari limeanza kutekelezwa na Julai 4, 2025, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt.Edwin Mhede alifanya uzinduzi wa kutoa chanjo na kuweka alama ya utambuzi kwa mfugaji mmoja wa mfano, Bwana Joseph Kimwayeya,ambapo jumla ya ng’ombe 11 na kuku 11 walichanjwa.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Dkt.Mhede, alieleza kuwa hatua ya Serikali kutoa ruzuku kwenye chanjo za mifugo ni mwendelezo wa mkakati wa Serikali kusaidia sekta ya mifugo kama ambavyo imekuwa ikifanyika kwa sekta ya kilimo. "Mmeona Serikali mara kadhaa imeleta pembejeo ya mbolea na mbegu, sasa hatuishii huko zote hizi ni sekta za uzalishaji ndiyo maana sasa tumekuja kwenye mifugo." alisema Dkt. Mhede.
Kwa mujibu wa mpango huu unaoendelea nchi nzima ,chanjo ya kuku aina ya tatu moja ambayo itamkinga kuku dhidi ya ugonjwa wa kideri Newcastle),ndui (fawl pox) na mafua makali ( infectious coryza zinatolewa bure kabisa kwa wafugaji nchi nzima , huku kwa upande wa ng’ombe mfugaji akichangia kiasi kidogo cha shilingi 500 tu kwa chanjo dhidi ya homa ya mapafu kwa kila dozi, gharama ambayo ni ndogo ukilinganisha na hasara inayoweza kutokea endapo mifugo haitachanjwa.

Wafugaji katika Halmashauri ya Mji Njombe wamepokea mpango huu kwa furaha na shukrani, wakieleza kuwa hatua hiyo ya Serikali ni ya kupongezwa na itawasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza vifo vya mifugo, kuongeza uzalishaji na kuboresha kipato cha kaya.

"Nashukuru Serikali kwamba imetoa punguzo la chanjo hii ,imetupungizia sana gharama sisi wakulima wa kipato cha chini,tunashukuru kwa pembejeo tunazozipata kwenye kilimo na mifugo tunaomba serikali iendelee kutusaidia wakulima"Alisema Joseph Kimwayeya-Mfugaji Mtaa wa Lunyanywi.
Tarehe 16 Juni 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alizindua rasmi chanjo za magonjwa matano ya kipaumbele ikiwa ni pamoja na homa ya mapafu, sokota ya mbuzi (PPR), ndui ya kuku (fowl pox), mafua makali ya kuku (infectious coryza), na kideri (Newcastle disease).

Wafugaji wote wanahimizwa kuhakikisha mifugo yao inapatiwa chanjo kwa wakati ili kulinda afya ya mifugo na kuepuka maambukizi ya magonjwa. Aidha, mnakumbushwa kuwa chanjo ni uwekezaji bora katika ustawi wa mifugo kwa uchumi wa mfugaji mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA VIJIJI NA MITAA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI.

    July 05, 2025
  • RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO,KINGA KWA MAENDELEO YA MIFUGO

    July 05, 2025
  • Dkt. Mhede azindua zoezi la chanjo ya ruzuku kwa mifugo Halmashauri ya Mji Njombe, dozi 227,000 kutolewa kwa ng'ombe na kuku

    July 05, 2025
  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe