• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

SERIKALI YA AWAMU YA SITA IMEFANYA MAKUBWA NJOMBE

Tarehe iliyowekwa: December 21st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mheshimiwa Anthony  Mtaka  Disemba 21,2023 wakati wa mkutano na Msemaji Mkuu wa Serikali pamoja na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita Mkoani Njombe amesema, Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dk.Samia Suluhu Hassan imewasikia wananchi  wa Njombe na kuwafikia katika kutatua kero zao kwenye sekta mbalimbali ikiwemo Maji,Barabara ,kilimo,elimu na Afya.


Kwa upande wa miundombinu ya barabara na maji,ameishukuru  Serikali  ya awamu ya sita kwakuwa Mkoa wa Njombe ni moja ya Mikoa inayonufaika na mradi mkubwa wa maji ambao utatatua changamoto ya maji kwa wananchi kwa asilimia 95,pamoja na miradi ya barabara ambapo ameishukuru Serikali kwa kuboresha mtandao wa barabara na kufanya maeneo mengi ya Mkoa wa Njombe kufikika kwa kuwa na barabara  zenye kiwango cha lami.


Aidha ameipongeza Serikali na maono ya Rais kwa kuona umuhimu wa kulipa fidia ya bilion 15  kwenye maeneo yenye makaa ya mawe na madini ya chuma Wilayani Ludewa sambamba na ujenzi wa barabara kubwa ya zege ambayo itafungua kwa kiasi kikubwa uchumi wa Wilaya ya Ludewa na Mkoa wa Njombe.


Pia ameipongeza Serikali kwa kutoa  mbolea za ruzuku kwa wakulima  jambo ambalo litasaidia kuendelea kuinua uchumi wa wananchi  Njombe na kusaidia kuchangia kwenye pato la Mkoa na Taifa.



Katika sekta ya elimu Mheshimiwa Mtaka ameeleza namna Serikali ilivyofanya  uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu jambo ambalo ni ishara ya mageuzi makubwa  kwenye elimu Mkoani Njombe kwakuwa kila kata Mkoani Njombe ina shule ,hivyo kuwezesha watoto wote wanaofaulu kuweza kuendelea na masomo.


Kwenye sekta ya afya Mkuu wa Mkoa Mtaka ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa namna ambavyo imesogeza huduma karibu na wananchi na kuhakikisha Hospitali zote zinafanya kazi zikiwa na vifaa ,madawa ,watumishi na vitendea kazi vingine  vinavyowezesha huduma kupatikana wakati wote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe