• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

TAASISI ZA SERIKALI ZATAKIWA KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KISASA KATIKA MAONESHO YA NANENANE.

Tarehe iliyowekwa: August 5th, 2025

 Agosti 5, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka, amezitaka taasisi za serikali zinazoshiriki maonesho ya Nanenane kuhakikisha zinakuwa na ubunifu wa teknolojia ya kisasa, ili kuendana na mabadiliko ya sayansi.

Akizungumza alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho hayo katika viwanja vya John Mwakangale, jijini Mbeya, Mhe. Mtaka alisema kuna haja ya taasisi sa serikaki kuachana na mazoea ya kuonesha vitu vya kizamani ambavyo havina tija kwa mkulima wa sasa.


"Taasisi za serikali zinapaswa kutoka kwenye mtazamo wa zamani na kuja kwa kisasa, tunahitaji kuona zikiwasilisha suluhisho la ubunifu na teknolojia zinazoendana na wakati huu  nasio  kurudia kila mwaka yale yale," alisema Mhe. Mtaka Mkuu wa Mkoa Njombe.


Aidha Mhe. Mtaka meongeza kuwa ni muhimu kwa taasisi hizo kuzingatia sera zinazolingana na Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, ili kuhakikisha mchango wao unaendana na mwelekeo wa kitaifa wa kukuza uchumi wa kilimo, viwanda na teknolojia huku akizitaka taasisi zinazowasilisha zana na teknolojia za kilimo katika maonesho ya Nanenane kuhakikisha zinafanya tathmini sahihi ya maeneo husika kabla ya kupeleka teknolojia hizo.


 "Hatuwezi kupeleka teknolojia ya umwagiliaji wa matone sehemu yenye mvua nyingi au kupeleka trekta kubwa eneo la kilimo cha bustani ya familia. Tunahitaji uhalisia," alisisitiza Mhe. Mtaka 


Maonesho ya Nanenane mwaka huu 2025 yameenda kwa kaulimbiu “chagua viongozi bora kwa maendeleo endelevu ya kilimo, mifugo na uvuvi 2025.”


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NJOMBE TC AAGANA NA TIMU ITAKAYOCHEZA SHIMISEMITA.

    August 12, 2025
  • LISHE NA AKIBA YA MAZAO YAHIMIZWA NANENANE.

    August 08, 2025
  • KHERI YA SIKUKUU YA WAKULIMA 88 2025.

    August 08, 2025
  • ELIMU YA UNYONYESHAJI YATOLEWA KWA WAKAZI WA LWANGU

    August 05, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe