• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

TANGAZENI VIVUTIO VYA UTALII NA FURSA ZA UWEKEZAJI ZINAZOPATIKANA KWENYE MIKOA YENU.

Tarehe iliyowekwa: September 29th, 2023

Na Ichikael Malisa.

Serikali imeagiza Mikoa yote ya Nyanda za juu kusini kuhakikisha inaainisha na kutangaza maeneo ya utalii sambamba na fursa za uwekezaji zinazopatikana ndani ya mikoa hiyo ili kuendeleza na kukuza sekta ya utalii nchini.

Kauli hiyo imetolewa Septemba 28,2023 na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Exaud Kigahe katika viwanja wa Kihesa kilolo Mkoani Iringa wakati akifunga Maonesho ya Utalii Karibu Kusini mwaka 2023.

"Kila mkoa uhakikishe unaibua maeneo mapya ya utalii na kutangaza vivutio vyake  na fursa za Uwekezaji ndani ya mkoa  maana tunaelewa utalii unaenda sambamba na uwekezaji hivyo ni vyema kujiandaa kupokea wawekezaji pia"alisema Naibu Waziri Kigahe.

Mhe Kigahe alisema kuwa serikali na taasisi zake itaendelea kufanya kazi yakutangaza vivutio vya utalii pamoja na kuhakisha mazingira rafiki kwenye sekta ya utalii yanaendelea kuboreshwa ili kuwavutia watalii wengi zaidi.

"Serikali inaendelea kuboresha miundombinu pamoja na kuendelea kutangaza vivutio vya utalii vinavyopatikana ukanda huu kwa kuwa utangazaji ni nguzo muhimu ya  kukuza utalii kusini mwa Tanzania"alisema.

Aidha alitumia fursa hiyo kuwakaribisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kufika na kuwekeza kwenye mikoa ya nyanda za juu kusini,pamoja na kuhakikisha mikoa yote inajipanga kwa kuweka mazingira rafiki kabla mwekezaji hajafika.

"Endeleeni kuandaa na kuanisha maeneo yote yanayofaa kwa uwekezaji,kamilisheni taratibu zote za msingi zinazotakiwa kama ni kulipa fidia ili mwekezaji anapofika akute maandalizi yapo tayari"alisema Naibu Waziri Kigahe.

Hata hivyo alisema maonesho ya utalii karibu kusini yana tija kubwa kwa uchumi wa mikoa ya kusini mwa Tanzania hasa kwenye kufanya biashara yakuwahudumia wageni wanaofika kwa ajili ya maonesho hayo.

"Tuendelee kuwekeza kwenye nyumba za kulala wageni na biashara nyingine, ili tuwe kwenye nafasi yakuweza kupokea na kuvutia wawekezaji wengi zaidi"alisema.

Maonesho ya utalii karibu kusini yalidumu kwa takribani siku sita kuanzia Septemba 23,2023 na yalibeba kauli mbiu inayosema "Utalii karibu kusini mwelekeo mpya wa uwekezaji"

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe