• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

TARURA HAKIKISHENI BARABARA ZETU ZINAPITIKA WAKATI WOTE,SHIRIKIANENI NA VIONGOZI WA MAENEO HUSIKA

Tarehe iliyowekwa: January 30th, 2024

Wakala wa barabara za Vijijini na Mijini(TARURA) Wilaya ya Njombe umetakiwa kutatua changamoto mbalimbali ikiwemeo kukatika kwa mawasiliano kwenye baadhi ya  barabara zilizopo ndani ya Halmashauri ya Mji Njombe ili kuwezesha barabara hizo kupitika wakati wote na kuondoa kero kwa wananchi haswa msimu huu wa mvua.


Agizo hilo limetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Mheshimiwa Filoteus Mlingo wakati akifunga mkutano wa baraza la madiwani kujadili taarifa za kata Januari 30,2024.


Mhe.Mligo ameutaka wakala huo kuhakikisha unafanya mawasiliano na uongozi wa kata ili kurahisisha utendaji  na kuwataka wakandarasi wanaokabidhiwa maeneo kuhakikisha wanaripoti na kuwa na barua ya utambulisho kwa viongozi wa kata akiwemo diwani husika kabla yakuanza kazi.


“Watu wa TARURA barabara zetu huko ni chafu kweli kweli, ni mbaya hembu twende tukapitie ,kwa mfano barabara ya Zengerendete ,Utalingolo, kisilo kwenda  Luponde mkandarasi ameanza kulima ameharibu baadhi ya eneo limekatika, sasa maeneo yale ni kwenda kuona tuone namna gani yakurekebisha haraka”Alisema Mhe. Mligo.


Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya madiwani akiwemo diwani wa kata ya Luponde Mhe.Ulrick Msemwa na diwani wa kata ya Uwemba Mhe.Jactan Mtewele wameshauri kutokana na ufinyu wa bajeti ni vyema TARURA kuhakikisha barabara zinatengezwa kwa ubora unaotakiwa ili zidumu kwa muda mrefu aidha wapate fursa yakukaa  na wenyeji ili kuweza kufahamu wakati sahihi na maeno ambayo yanahitaji matengenezo ya haraka ili kuondoa kero kwa wananchi haswa kipindi cha msimu wa mvua.


Aidha suala la kampeni yakuhamasisha lishe bora kwenye jamii ili kupambana na udumavu ndani ya Halmashauri ya Mji NJombe limesisitizwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Mhe.Filoteus Mligo, akiwataka waheshimiwa madiwani kuweka agenda ya lishe kwenye mikutano yao ya kata.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe