• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

TFRA YAELEKEZWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAWAKALA WA MBOLEA

Tarehe iliyowekwa: September 14th, 2023

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kanda ya nyanda za juu kusini imesema inaendelea kushughulikia changamoto mbalimbali zinahusu mbolea kwa wakulima.

Meneja wa kanda Ndugu Michael Sanga amesema hayo Septemba 13,2023 wakati wa kikao na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe.Kissa Kasongwa kujadili maendeleo kwenye maandalizi ya uuzaji wa mbolea za ruzuku kwa  msimu ujao wa kilimo 2023/2024 wilayani Njombe .

Asifiwe Magima mweyekiti wa waauzaji wa mbolea wilaya ya njombe aliwasilisha baadhi ya changamoto kwenye ununuzi na uuzaji wa mbolea za ruzuku ikiwemo changamoto kwa mawakala kucheleweshewa na wengine kutolipwa kabisa fedha walizoweka dhamana kwa baadhi ya makampuni yanayosambaza mbolea Wilayani Njombe.

Akitolea ufafanuzi jambo hilo meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania TFRA kanda ya nyanda za juu kusini Michael Sanga alisema changamoto hiyo imewafikia na inaendelea kufanyiwa  kazi ili wadau hao waweze kupatiwa haki yao.

“Kuhusu bond ni kweli wapo ambao hawajalipwa na zipo changamoto ambazo zilijitokeza kwa baadhi ya wauzaji kushindwa ku SCAN QR CODE hili ni tatizo maana mzalishaji hawezi kulipwa bila mauzo yake kuonekana ,tunaendelea kushughulikia maana wapo ambao tayari wamelipwa fedha na wengine mbolea kuendana na thamani ya fedha na hapa itafanyika.”

Wakati akihitimisha kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe.Kissa Kasongwa  alitoa siku saba kwa Mamlaka ya Uthibiti wa Mbolea Tanzania TFRA kuhakikisha inatoa majibu ya lini mawakala wanaodai fedha kutoka kwa makampuni hao watalipwa fedha zao ili wasikwame kuwahudumia wakulima

Katika hatua nyingine Sanga amesema mamlaka ipo kwenye mpango wa kuboresha mfumo wa usajili wa  wakulima ili uweze kukubali matumizi ya aina nyingine ya kitambulisho ikiwemo cha mpiga kura ili kupunguza chanagamoto ya sasa kwa wakulima kushindwa kusajiliwa kwenye mfumo kutokana na mfumo kuhitaji  mkulima kuwa na kitambulisho au  namba ya kitambulisho cha uraia NIDA.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe