• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

TUCHUKUE TAHADHARI MAGONJWA YA MLIPUKO, USAFI UZINGATIWE

Tarehe iliyowekwa: January 30th, 2024

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Mheshimiwa Filoteus Mligo aimetaka jamii kutunza mazingira pamoja na kufanya usafi kwenye maeneo yao ya  makazi ili kuzuia magonjwa ya mlipuko.


Amesema hayo Mhe.Mligo Januari 30,2024  wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Madiwani kujadili taarifa za kata kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2023/2024.  


Ameeleza kuwa kipindi hiki cha mvua ni kipindi ambacho kinaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa mbalimbali ikiwemo magonjwa ya kuhara na kipindupindu hivyo jamii ichukue tahadahri kwa kuhakikisha mazingira yanatunza na kuwa safi wakati wote.



Aidha amewataka wafanyabiashara  wote wa vyakula ,mamalishe na babalishe kuzingatia usafi kwenye maeneo yao ya biashara ili wasiwe chanzo cha mlipuko wa magonjwa huku akiielekeza idara ya afya Halmashauri ya Mji Njombe kushirikiana na kitengo cha usafi wa mazingira kuwawajibisha wale wote ambao watakiuka sheria na kanunui za usafi wa mazingira kwenye maeneo yao ya biashara. 


Katika hatua nyingine amewataka wataalamu kushirikiana na waheshimiwa madiwani kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuongeza pato la Halmasahuri.Aidha amesisitiza wataalamu kuhakikisha miradi mbalimbali inayotekelezwa kwenye kata zote inakamilika kwa wakati na thamani ya mradi inaonekana ili kuwezesha Halmashauri kupata fedha zaidi kutoka Serikali kuu na wadau wengine wa maendeleo.


Mhe. Mligo pia amewataka madiwani kuhakikisha wanafuatilia miradi hiyo kwa ukaribu sambamba na kuzifuatilia  kwa ukaribu kamati za ujenzi ambazo zinasimamia utekelezaji wa miradi hiyo.


Sambamba na hayo Makamu Mwenyekiti Mhe.Mligo amewataka wananchi wote Mjini Njombe kutumia vizuri mvua ambazo zinaendelea kunyesha kupanda miti ya aina mbalimbali ikiwemo miti ya matunda ,biashara ,mampamobo pamoja na miti mingine rafiki wa mazingira ili kuendelea kupendezesha na  kutunza mazingira ya Mji wa Njombe. 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe