• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

TUNATARAJIA MATOKEO CHANYA.

Tarehe iliyowekwa: May 25th, 2024

Naibu wa Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mhe.Jumanne Sagini amewataka wataalamu wote watakaotekeleza zoezi la Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaing) kuhakikisha wanafanikisha matarijo ya kampeni hiyo ya kushughulikia kero na changamoto za wananchi.

Mhe.Sagini ametoa rai hiyo Mei 25,2024 wakati akifungua kikao kazi cha mafunzo kwa wataalamu watakaofanya kazi kwenye utekelezaji wa kampeni hiyo kuanzia Mei 27 hadi Juni 04 ,2024 katika Halmashauri zote za Mkoa wa Njombe .

“ Ninamshukuru sana Mhe Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia jambo hili lifanyike,Mama Samia Legal Aid Campaing ni kampeni ambayo ina baraka zote za Mhe.Rais,suala la msaada wa kisheria ni jambo ambalo limeonekana kuwa na  umuhimu mkubwa sana kwa wananchi,ninaamini ninyi mlioaminiwa kufanya kazi hii mtathamini uzito huo ambao Mhe.Raisi ameuweka kwenye jambo hili”. Alisema Mhe.Sagini.


Aidha Mhe.Sagini amewasisitiza watalamu hao kufanya kazi ambayo itajibu hoja za wananchi na matarajio ya Serikali.

“Tafsiri ya wananchi kutoa kero kwa viongozi ni kwamba kuna mambo mengi kwenye utekelejazi wa shughuli za umma hayafanyiwi kazi ipasavyo,anapotokea mtu kusikiliza shida yao lazima wajitokeze, kazi mnayoenda kuifanya ni matajiro yetu ikifanyika vizuri watu wakaelewa wakitingwa na jambo gani wanakwenda wapi na wanapokwenda watu wakawa tayari na wakasilizwa vizuri ,hizi tunazoziita kero zitapungua kwa kiasi kikubwa”.

Katika hatua nyingine ametoa rai kwa Wizara ya Katiba na Sheria kupita kwa  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Ndg.Khatibu Kazungu kufanya utafiti mdogo juu ya madhara ya watu kutokufahamu haki zao za msingi kisheria ili uwe ni chachu yakutatua kero ambazo kwa namna moja ua nyingine zinatengenezwa na watumishi wa umma wasiotimiza wajibu wao vizuri.

Njombe ni Mkoa wa 7  kupokea wataalamu wakutoa  msaada wa kisheria kupitia  Kampeni ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaing).

Kauli mbiu ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaing inasema “Msaa wa kisheria kwa Haki, Usawa,Amani na Maendeleo”.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe