• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

TUNAWATAKIA MTIHANI MWEMA WAKUHITIMU ELIMU YA MSINGI.

Tarehe iliyowekwa: September 12th, 2023

Watahiniwa  wanaojianda na Mtihani wa Taifa wa Darasa la Saba wametakiwa kutumia vyakula rafiki ili wawe na utulivu wakati wakufanya  mitihani .

Ameyasema hayo Mhe Erasto Mpete Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Septemba 11, 2023 alipotembelea Shule ya Msingi Mikongo iliyopo Kata ya Kifanya kwa niaba ya shule zote za Halmashauri ya Mji Njombe

Akiwa shuleni hapo alipata fursa ya  kuzungumuza na watahiniwa wa Darasa la Saba nakuwaomba watahiniwa hao kuhakikisha wanapata muda wanatumia vyakula ambavyo havitawaletea usumbufu  watakapokuwa  katika vyumba vya kufanyia mtihani.

Katika hatua Nyingine Mhe.Mpete amewaomba watahiniwa hao kuhakikisha wanatumia muda uliobaki kupumzika .

“Ninaamini mmesoma na vile walivyowafundisha waalimu wenu vimetosha sasa hivi pumzikeni ili msi paniki”.

Kwa upande wake mkuu wa Idara ya Elimu Halmashauri ya Mji Njombe Shida Kiaramba amesema maandalizi yamefanyika vizuri na wanafunzi wapo tayari kufanya mitihani yao.

“Maandalizi yamekamilika kila kitu kipo sawa shule zetu 95 zimewaandaa wanafunzi kufanya mitihani ,jumla ya wanafunzi watakaofanya mtihani wakuhitimu darasa la saba ni 4,871,wasichana wakiwa 2,522 na wavulana 2,349.”

Wanafunzi wa darasa la saba nchini kote wanatarajia kuanza kufanya mtihani wa taifa wakuhitimu Elimu ya Msingi Mwaka 2023 kuanzia  siku ya Jumatano Septemba 13, 2023 na wanatarajia kumaliza siku ya Alhamisi  Septemba 14,2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUPANGISHA VYUMBA VYA BIASHARA SOKO KUU NJOMBE. September 05, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWENYE ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE March 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAKUMBUSHWA KUSIMAMIA UKUSANYAJI WA MAPATO

    September 22, 2023
  • WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAKUMBUSHWA KUSIMAMIA UKUSANYAJI WA MAPATO

    September 22, 2023
  • NBS YAANZA KUTOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI NJOMBE NA RUVUMA.

    September 18, 2023
  • WATAKAO TUPA TAKA HOVYO NJOMBE MJINI KUCHUKULIWA HATUA KALI

    September 16, 2023
  • Angalia zote

Video

NI KICHEKO YAKOBI SEKONDARI
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe