• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

TUNZENI AFYA ZENU

Tarehe iliyowekwa: November 4th, 2023

Ni ujumbe muhimu uliotolewa kwa madereva ,watunza kumbukumbu na wahudumu mbalimbali kwenye ofisi ya halmashauri ya Mji Njombe pamoja na waelimisha rika kutoka kiwanda cha chai cha Uniliver ,wakati wakipatiwa mafunzo ya mpango wa Ukimwi ,magonjwa sugu na magonjwa yasiyo ambukiza mahala pa kazi

Akiwasilisha mada ya afya ya akili kwa washiriki wa mafunzo hayo ,Bi.Joyce Lameck mratibu wa magonjwa ya afya ya akili kutoka hospitali Kibena ametoa rai kwa watumishi hao kujitunza na kuchukua tahadhari ili kulinda afya yao ya akili.

Bi Joyce ,amelitaka kundi hilo kujiepusha na tabia hatarishi ikiwemo ulevi na matumizi ya dawa za kulevya kwani ni mojawapo ya vichocheo vinavyosabisha mtu kupata msongo wa mawazo nakupelekea kupata ugonjwa wa akili.

Aidha amevitaja vichocheo vingine vinavyoweza kusababisha mtu kupata tatizo la afya ya akili kuwa ni pamoja na mtu kufiwa na mtu wake wa karibu,Umasikini ,Migogoro ya kifamilia(ndoa),Upweke,kufukuzwa kazi ,kufeli mitihani au maisha ,kutozaa ,imani za kishirikina pamoja na kutengwa na jamii.

Kwa upande wake mratibu wa magonjwa yasiyoambukiza Daktari Isaya Mvinge ametoa wito kwa watumishi wao kupata muda wa kuchunguza afya zao haswa kwa magonjwa yasiyo ambukiza kwani mengi hayana tiba.

Bi Uria  Mtweve, mratibu wa kudhibiti Ukimwi idara ya Afya, Halmashauri ya Mji Njombe ametumia fursa hiyo kukumbusha kundi la madereva juu ya kinga dhidi ya virusi vya Ukimwi ambapo mkoa wa njombe ni miongoni mwa mikoa yenye takwimu za juu kwenye maambukizi kwa asilimia 11.4

Aidha Bi Uria amesisitiza umuhimu wakupima afya ili kuanza kutumia dawa mapema endapo mtu atabainika kuwa na maambukizi na kujikinga kwa wale watakaooneka kutokuwa na maambukizi. 

Baadhi madereva wa halmashauri ya Mji Njombe Hassan Milanzi na Mohamed  Mdoe wamesema mafunzo hayo yamewajengea uelewa wa namna yakujikinga na magonjwa ya akili,VVU pamoja na magonjwa yasiyo ambukiza wawapo kazini na nje ya maeneo ya kazi.

Mafunzo hayo yenye lengo la kuboresha utendaji kazi na kujenga uelewa wa kujikinga na madhara yatokanayo na afya ya akili,Ukimwi na magonjwa yasiyo ambukiza kazini yametolewa Novemba 04,2023 kwa washiriki 68.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe