Ikiwa ni katika mikakati ya kupambana na maambukizi ya UVIKO -19 na kuboresha hali ya usafi kwa watoto wa kike, Halmashauri ya Mji Njombe imepokea vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto wa kike 1501 katika shule za sekondari ambazo kaya zao zinanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini ambapo kila mtoto atapatiwa ndoo, taulo za kike, sabuni na nguo za ndani.
Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa hivyo iliyofanyika katika Kata ya Uwemba, Kijiji cha Uwemba Mratibu wa Tasaf Halmashauri ya Mji Njombe Peter Magehema amesema kuwa vifaa hivyo vya usafi vitasambazwa kwa kila mtoto ambaye kaya yake inanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini katika kata zote Kata 13 za Halmashauri ya Mji Njombe.Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuluthum Sadick ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo ameishukuru UNICEF kwa hatua hiyo kwani itasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuhakikisha kuwa watoto wa kike wanasoma katika mazingira safi na salama.
Katika hatua nyingine Kuluthum amewataka watoto hao kuhakikisha kuwa wanasoma kwa bidii bila kujali mazingira waliyotokea kwani kwa sasa elimu wanayoipata ni kwa ajili ya maisha yao na hivyo wasikubali kurubuniwa na kupoteza mwelekeo wao wa elimu.“Nyie mpo shuleni kwa ajili ya kutafuta maisha yenu.Kama kuna vitu ambavyo mzazi wako anakupatia mfano mahitaji ya shuleni au kama mzazi wako hakupatii hayo ni maisha ya mzazi wako, tunawashukuru kwa kutuleta duniani na kutupatia yale yaliyo kwenye uwezo wao. Lakini nyie mpo kwa ajili ya kuyapambania maisha yenu” Niwaombe msome kwa bidii ili mfaulu mitihani yenu na kuwa na maisha bora” Alisema Kuluthum wakitoa salamu za shukrani mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo Efgenia Mwalongo amesema wanashukuru kwa msaada huo kwani utawasaidia kuwa na mazingira salama na huru ya kusoma Shuleni. Miongoni mwa wazazi ambao watoto wao wamenufaika na vifaa hivyo amewataka watoto hao kutunza vifaa hivyo na kuhakikisha usafi wa vifaa hivyo.
Ikiwa ni katika mikakati ya kupambana na maambukizi ya UVIKO -19 na kuboresha hali ya usafi kwa watoto wa kike, Halmashauri ya Mji Njombe imepokea vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto wa kike 1501 katika shule za sekondari ambazo kaya zao zinanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini ambapo kila mtoto atapatiwa ndoo, taulo za kike, sabuni na nguo za ndani.
Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa hivyo iliyofanyika katika Kata ya Uwemba, Kijiji cha Uwemba Mratibu wa Tasaf Halmashauri ya Mji Njombe Peter Magehema amesema kuwa vifaa hivyo vya usafi vitasambazwa kwa kila mtoto ambaye kaya yake inanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini katika kata zote Kata 13 za Halmashauri ya Mji Njombe.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuluthum Sadick ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo ameishukuru UNICEF kwa hatua hiyo kwani itasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuhakikisha kuwa watoto wa kike wanasoma katika mazingira safi na salama.
Katika hatua nyingine Kuluthum amewataka watoto hao kuhakikisha kuwa wanasoma kwa bidii bila kujali mazingira waliyotokea kwani kwa sasa elimu wanayoipata ni kwa ajili ya maisha yao na hivyo wasikubali kurubuniwa na kupoteza mwelekeo wao wa elimu.
“Nyie mpo shuleni kwa ajili ya kutafuta maisha yenu.Kama kuna vitu ambavyo mzazi wako anakupatia mfano mahitaji ya shuleni au kama mzazi wako hakupatii hayo ni maisha ya mzazi wako, tunawashukuru kwa kutuleta duniani na kutupatia yale yaliyo kwenye uwezo wao. Lakini nyie mpo kwa ajili ya kuyapambania maisha yenu” Niwaombe msome kwa bidii ili mfaulu mitihani yenu na kuwa na maisha bora” Alisema Kuluthum
Wakitoa salamu za shukrani mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo Efgenia Mwalongo amesema wanashukuru kwa msaada huo kwani utawasaidia kuwa na mazingira salama na huru ya kusoma Shuleni. Miongoni mwa wazazi ambao watoto wao wamenufaika na vifaa hivyo amewataka watoto hao kutunza vifaa hivyo na kuhakikisha usafi wa vifaa hivyo.
Ikiwa ni katika mikakati ya kupambana na maambukizi ya UVIKO -19 na kuboresha hali ya usafi kwa watoto wa kike, Halmashauri ya Mji Njombe imepokea vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto wa kike 1501 katika shule za sekondari ambazo kaya zao zinanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini ambapo kila mtoto atapatiwa ndoo, taulo za kike, sabuni na nguo za ndani.
Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa hivyo iliyofanyika katika Kata ya Uwemba, Kijiji cha Uwemba Mratibu wa Tasaf Halmashauri ya Mji Njombe Peter Magehema amesema kuwa vifaa hivyo vya usafi vitasambazwa kwa kila mtoto ambaye kaya yake inanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini katika kata zote Kata 13 za Halmashauri ya Mji Njombe.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuluthum Sadick ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo ameishukuru UNICEF kwa hatua hiyo kwani itasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuhakikisha kuwa watoto wa kike wanasoma katika mazingira safi na salama.
Katika hatua nyingine Kuluthum amewataka watoto hao kuhakikisha kuwa wanasoma kwa bidii bila kujali mazingira waliyotokea kwani kwa sasa elimu wanayoipata ni kwa ajili ya maisha yao na hivyo wasikubali kurubuniwa na kupoteza mwelekeo wao wa elimu.
“Nyie mpo shuleni kwa ajili ya kutafuta maisha yenu.Kama kuna vitu ambavyo mzazi wako anakupatia mfano mahitaji ya shuleni au kama mzazi wako hakupatii hayo ni maisha ya mzazi wako, tunawashukuru kwa kutuleta duniani na kutupatia yale yaliyo kwenye uwezo wao. Lakini nyie mpo kwa ajili ya kuyapambania maisha yenu” Niwaombe msome kwa bidii ili mfaulu mitihani yenu na kuwa na maisha bora” Alisema Kuluthum
Wakitoa salamu za shukrani mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo Efgenia Mwalongo amesema wanashukuru kwa msaada huo kwani utawasaidia kuwa na mazingira salama na huru ya kusoma Shuleni. Miongoni mwa wazazi ambao watoto wao wamenufaika na vifaa hivyo amewataka watoto hao kutunza vifaa hivyo na kuhakikisha usafi wa vifaa hivyo.
Ikiwa ni katika mikakati ya kupambana na maambukizi ya UVIKO -19 na kuboresha hali ya usafi kwa watoto wa kike, Halmashauri ya Mji Njombe imepokea vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto wa kike 1501 katika shule za sekondari ambazo kaya zao zinanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini ambapo kila mtoto atapatiwa ndoo, taulo za kike, sabuni na nguo za ndani.
Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa hivyo iliyofanyika katika Kata ya Uwemba, Kijiji cha Uwemba Mratibu wa Tasaf Halmashauri ya Mji Njombe Peter Magehema amesema kuwa vifaa hivyo vya usafi vitasambazwa kwa kila mtoto ambaye kaya yake inanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini katika kata zote Kata 13 za Halmashauri ya Mji Njombe.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuluthum Sadick ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo ameishukuru UNICEF kwa hatua hiyo kwani itasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuhakikisha kuwa watoto wa kike wanasoma katika mazingira safi na salama.
Katika hatua nyingine Kuluthum amewataka watoto hao kuhakikisha kuwa wanasoma kwa bidii bila kujali mazingira waliyotokea kwani kwa sasa elimu wanayoipata ni kwa ajili ya maisha yao na hivyo wasikubali kurubuniwa na kupoteza mwelekeo wao wa elimu.
“Nyie mpo shuleni kwa ajili ya kutafuta maisha yenu.Kama kuna vitu ambavyo mzazi wako anakupatia mfano mahitaji ya shuleni au kama mzazi wako hakupatii hayo ni maisha ya mzazi wako, tunawashukuru kwa kutuleta duniani na kutupatia yale yaliyo kwenye uwezo wao. Lakini nyie mpo kwa ajili ya kuyapambania maisha yenu” Niwaombe msome kwa bidii ili mfaulu mitihani yenu na kuwa na maisha bora” Alisema Kuluthum
Wakitoa salamu za shukrani mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo Efgenia Mwalongo amesema wanashukuru kwa msaada huo kwani utawasaidia kuwa na mazingira salama na huru ya kusoma Shuleni. Miongoni mwa wazazi ambao watoto wao wamenufaika na vifaa hivyo amewataka watoto hao kutunza vifaa hivyo na kuhakikisha usafi wa vifaa hivyo.
Ikiwa ni katika mikakati ya kupambana na maambukizi ya UVIKO -19 na kuboresha hali ya usafi kwa watoto wa kike, Halmashauri ya Mji Njombe imepokea vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto wa kike 1501 katika shule za sekondari ambazo kaya zao zinanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini ambapo kila mtoto atapatiwa ndoo, taulo za kike, sabuni na nguo za ndani.
Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa hivyo iliyofanyika katika Kata ya Uwemba, Kijiji cha Uwemba Mratibu wa Tasaf Halmashauri ya Mji Njombe Peter Magehema amesema kuwa vifaa hivyo vya usafi vitasambazwa kwa kila mtoto ambaye kaya yake inanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini katika kata zote Kata 13 za Halmashauri ya Mji Njombe.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuluthum Sadick ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo ameishukuru UNICEF kwa hatua hiyo kwani itasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuhakikisha kuwa watoto wa kike wanasoma katika mazingira safi na salama.
Katika hatua nyingine Kuluthum amewataka watoto hao kuhakikisha kuwa wanasoma kwa bidii bila kujali mazingira waliyotokea kwani kwa sasa elimu wanayoipata ni kwa ajili ya maisha yao na hivyo wasikubali kurubuniwa na kupoteza mwelekeo wao wa elimu.
“Nyie mpo shuleni kwa ajili ya kutafuta maisha yenu.Kama kuna vitu ambavyo mzazi wako anakupatia mfano mahitaji ya shuleni au kama mzazi wako hakupatii hayo ni maisha ya mzazi wako, tunawashukuru kwa kutuleta duniani na kutupatia yale yaliyo kwenye uwezo wao. Lakini nyie mpo kwa ajili ya kuyapambania maisha yenu” Niwaombe msome kwa bidii ili mfaulu mitihani yenu na kuwa na maisha bora” Alisema Kuluthum
Wakitoa salamu za shukrani mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo Efgenia Mwalongo amesema wanashukuru kwa msaada huo kwani utawasaidia kuwa na mazingira salama na huru ya kusoma Shuleni. Miongoni mwa wazazi ambao watoto wao wamenufaika na vifaa hivyo amewataka watoto hao kutunza vifaa hivyo na kuhakikisha usafi wa vifaa hivyo.
Ikiwa ni katika mikakati ya kupambana na maambukizi ya UVIKO -19 na kuboresha hali ya usafi kwa watoto wa kike, Halmashauri ya Mji Njombe imepokea vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto wa kike 1501 katika shule za sekondari ambazo kaya zao zinanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini ambapo kila mtoto atapatiwa ndoo, taulo za kike, sabuni na nguo za ndani.
Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa hivyo iliyofanyika katika Kata ya Uwemba, Kijiji cha Uwemba Mratibu wa Tasaf Halmashauri ya Mji Njombe Peter Magehema amesema kuwa vifaa hivyo vya usafi vitasambazwa kwa kila mtoto ambaye kaya yake inanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini katika kata zote Kata 13 za Halmashauri ya Mji Njombe.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuluthum Sadick ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo ameishukuru UNICEF kwa hatua hiyo kwani itasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuhakikisha kuwa watoto wa kike wanasoma katika mazingira safi na salama.
Katika hatua nyingine Kuluthum amewataka watoto hao kuhakikisha kuwa wanasoma kwa bidii bila kujali mazingira waliyotokea kwani kwa sasa elimu wanayoipata ni kwa ajili ya maisha yao na hivyo wasikubali kurubuniwa na kupoteza mwelekeo wao wa elimu.
“Nyie mpo shuleni kwa ajili ya kutafuta maisha yenu.Kama kuna vitu ambavyo mzazi wako anakupatia mfano mahitaji ya shuleni au kama mzazi wako hakupatii hayo ni maisha ya mzazi wako, tunawashukuru kwa kutuleta duniani na kutupatia yale yaliyo kwenye uwezo wao. Lakini nyie mpo kwa ajili ya kuyapambania maisha yenu” Niwaombe msome kwa bidii ili mfaulu mitihani yenu na kuwa na maisha bora” Alisema Kuluthum
Wakitoa salamu za shukrani mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo Efgenia Mwalongo amesema wanashukuru kwa msaada huo kwani utawasaidia kuwa na mazingira salama na huru ya kusoma Shuleni. Miongoni mwa wazazi ambao watoto wao wamenufaika na vifaa hivyo amewataka watoto hao kutunza vifaa hivyo na kuhakikisha usafi wa vifaa hivyo.
Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.
Sanduku la Posta: S.L.P 577
Simu ya Mezani: 026-2968833
Simu ya Mkononi: 026-2968833
Barua Pepe: td@njombetc.go.tz
Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe