• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

UWEMBA NA NJOSS ZATOKOMEZA SIFURI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA.HALMASHAURI YATOA PONGEZI YA CHETI NA KITITA CHA LAKI TANO KWA KILA SHULE

Tarehe iliyowekwa: July 29th, 2022

Halmashauri ya Mji Njombe imetoa kiasi cha shilingi laki tano kwa shule ya Sekondari Uwemba na Njombe Sekondari kwa kufanikiwa kufuta sifuri katika matokeo ya kidato cha sita 2022.Akizungumza wakati wa kufanya makabidhiano hayo kwa niaba ya Waheshimiwa Madiwani Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Erasto Mpete ametoa pongezi kwa Waalimu kwa jitihada kubwa walizozionyesha za kuhakikisha kuwa shule hizo zimefuta sifuri katika matokeo ya kidato cha sita jambo ambalo limezidi kuiongezea Halmashauri heshima kwa kuwa na ufaulu wa juu.

Wakizungumza kwa wakati tofauti mara baada ya kupokea motisha hiyo Jimmy Ngumbuke Makamu Mkuu wa Shule Njombe Sekondari na Johnsia Ngailo Makamu Mkuu wa Shule ya Uwemba wamesema kuwa Uwepo wa sifuri katika shule zao ni miongoni mwa mambo ambayo yaliwafanya kukosa usingizi kwa muda mrefu ambapo kwa kuweka mikakati iliyo bora miongoni mwa Waalimu na Wananfunzi kwa kushirikiana walifanikiwa kufuta sifuri kwenye matokeo hayo ikiwa ni pamoja na kutoa mazoezi ya mara kwa mara,waalimu kuendelea kutoa msaada kwa kusaidia wanafunzi hata baada ya masomo na kuongeza bidii katika ufundishaji na usimamizi wa nidhamu jambo lililopelekea uwepo wa matokea hayo

Naye Diwani wa Kata ya Uwemba Jactan Mtewele amesema kuwa kwa niaba ya Wananchi wa Kata ya Uwemba uwepo wa matokeo hayo umekuwa na faraja kubwa kwa wazazi kwani uwepo wa sifuri ulikuwa unatia doa lakini kwa sasa imani ya wazazi na wanafunzi juu ya ufaulu wa shule hiyo umeanza kurejea na kama Diwani atahakikisha anashirikiana na uongozi wa shule kutatua changamoto shuleni hapo ili shule hiyo iweze kuendelea kusikika vyema kwenye ufaulu Nchini.






Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe