• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

VIJANA CHANGAMKIENI FURSA YA KILIMO CHA PARACHICHI.

Tarehe iliyowekwa: October 27th, 2023



Na Ichikael Malisa - Njombe.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Philip Isdor Mpango ametoa rai kwa vijana kufanya kilimo cha parachichi ili kujikwamua kiuchumi.


Mheshimiwa Mpango ametoa rai hiyo Oktoba 26,2023 mjini Makambako alipofanya ziara kwenye kiwanda cha kusindika zao la parachichi cha AvoAfrica.


Akiwa kiwandani hapo amesema uwekezaji mkubwa uliofanyika una faida kubwa kwa wananchi wa njombe na Tanzania nzima, kwa kutoa ajira na kuongeza pato la taifa.


"Niwapongeze uwekezaji huu, watanzania wenzangu tumepewa fursa kubwa dhahabu ya kijani ni fursa hasa kwa vijana, hakuna haja yakukaa mtaani changamkieni fursa,Wafanyakazi tumieni f vizuri fursa ya ajira mliyoipata nanyi muwe na mashamba yenu." Alisema.Mhe Mpango


Katika hatua nyingine Makamu wa Rais Mheshimiwa Mpango, ametaka mamlaka ya mapato Tanzania TRA kuhakikisha inaondoa vikwazo visivyo vya lazima vinavyopelekea ucheleweshaji wa shehena za parachichi ili kuwezesha parachichi kufika kiwandani kwa wakati unaotakiwa.


Aidha amewaomba wananjombe kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambayo inapambana kuhakikisha kila mtanzania anakuwa na maisha bora.


Kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanyika kwenye kiwanda hicho Mheshimiwa makamu wa raisi ametoa rai kwa wanahabari kutangaza fursa ya kilimo cha parachichi kwa vijana.


"Hiki kiwanda ni cha mfano wanahabari, tangazeni haya ili vijana wengi waweze kuchangamkia fursa hii ya kilomo cha parachichi."


Ili kulinda soko la parachichi kimataifa mheshimiwa makamu wa Rais amewakumbusha wakulima kuhakikisha wanachuma matunda yaliyokomaa kama wanavyoshauriwa na wataalamu.


Uwekezaji wa kiwanda cha parachichi cha AvoAfrica mjini Makambako unatajwa kugharimu dola za kimarekani takribani milioni 4.8.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe