• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

WAANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA WATAKIWA KUFANYA KAZI YA UANDIKISHAJI KWA UADILIFU

Tarehe iliyowekwa: October 7th, 2024

Waandikishaji wa wapiga Halmashauri kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Tarehe 07 Oktoba 2024 wamepatiwa  semina maalum ili kuwaelimisha na kuwaandaa kwa ajili ya zoezi la uandikishaji wa wapiga kura linalotarajiwa kuanza Tarehe 11 - 20 Oktoba 2024.

Katika semina hiyo, waandikishaji wamehimizwa  kufanya kazi kwa uadilifu na umakini mkubwa. Wawezeshaji wa semina walisisitiza umuhimu wa kuhakikisha kuwa kila mwananchi anayestahili kuandikishwa  kama mpiga kura anapata haki yake bila ubaguzi wowote.

Waandikishaji walikumbushwa kuwa kazi yao ni ya msingi katika kuimarisha demokrasia, hivyo wanapaswa kuwa waaminifu katika utekelezaji.

Aidha, walielekezwa kuhusu umuhimu wa kuzingatia muda wa kazi. Ilisisitizwa kuwa waandikishaji wanapaswa kuwa kwenye vituo vyao vya kazi kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 12:00 jioni bila kukosa ,ili kuhakikisha kuwa wananchi wote wanapata nafasi ya kuandikishwa  kwa wakati uliopangwa ili kuepuka malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu ucheleweshaji au upotevu wa haki yao ya kuandikishwa.


Msimamizi msaidizi Ndg.Dotto Kulaba aliyekuwa mwezeshaji mkuu, aliwahimiza waandikishaji kuhakikisha kuwa wanatoa huduma kwa wananchi kwa weledi, uvumilivu, na kuwahudumia kwa haraka na usahihi. Alisisitiza kuwa mchakato huu ni nyeti na unahitaji umakini mkubwa ili kuhakikisha taarifa zote za wapiga kura zinasajiliwa kwa usahihi bila makosa.

Semina hii imewapa waandikishaji uelewa mzuri wa majukumu yao, na ni hatua muhimu katika maandalizi ya mchakato wa uandikishaji wa wapiga kura.


"Serikali za Mitaa Sauti ya Wananchi Jitokeze Kushiriki Uchaguzi".


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • SIKU NNE ZA KUSIKILIZA KERO NA MAONI YA WANANCHI LIMEHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.

    June 30, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe atoa wito kwa Wananchi kujitokeza kupata huduma Stendi ya Zamani.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe