• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Halmashauri ya Mji Njombe
Halmashauri ya Mji Njombe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Halmashauri ya Mji Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

WADAU WA PARACHICHI WAUNGA MKONO KAMPENI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU NJOMBE - WACHANGIA MILIONI 14.5.

Tarehe iliyowekwa: January 16th, 2024


Mkuu wa Mkoa Njombe Mhe Anthony Mtaka amewashukuru wadau na wanunuzi wa parachichi kwa kuchangia kiasi cha shilingi Milioni 14. 5 kwa ajili ya kusaidia kampeni ya kutokomeza Udumavu Mkoani Njombe 


Mhe.Mtaka ametoa shukrani hizo Januari 15,2024 alipokutana na kuzungumza na wadau hao ofisini kwake kuhusu mwenendo wa zao la parachichi katika soko la ndani na kimataifa, kujadili changamoto mbalimbali wanazo kabiliwana nazo  wakulima na wanunuzi wa parachichi ,muda wa kuanza kuchuma parachichi shambani  pamoja  kujadili fursa juu ya zao la parachichi ambalo ni dhahabu  ya kijani katika Mkoa wa Njombe.



Katika kikao Hicho Mhe Mtaka amewapongeza wadau hao kwa uzalendo nakuona umuhimu wakuchangia katika kampeni ya kutokomeza udumavu katika Mkoa wa Njombe. 


Aidha Mhe Mataka amewakaribisha wawekezaji wa ndani na nje ya Tanzania  kuja kuwekeza kwa wingi kwenye viwanda vya kuongeza thamani katika zao hilo ili kuweza kuongeza ushindani katika soko la ndani na kimataifa kutokana na parachichi ya Njombe kuwa bora katika soko la kimataifa hasa falme za kiarabu na China ambako Mhe Rais Samia Suluhu Hassan alitembelea  kutafuta masoko na fursa za uwekezaji katika zao hilo.


Naye  Meneja wa Kampuni ya Ununuzi wa Parachichi Mkoani Njombe Avo Africa Nagib Karmal ambaye aliteuliwa katika kikao hicho kuongoza kampeni ya uchangishaji kwa wadau hao amesema wanunuzi na wadau wa parachichi Mkoani  Njombe wameamua  kuchangia shilingi milioni 14.5 katika kampeni ya lishe kutokana na hali ya Lishe Mkoani Njombe kuwa mbaya nakupelekea Mkoa kuwa na asilimia kubwa ya Watoto waliodumaa jambo ambalo  limewaibua mpaka viongozi wa Nchi kulivalia njuga.


Matangazo

  • KUITWA KAZINI NA MAFUNZO TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 21, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 19, 2025
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTAKA AONGOZA MAOMBI YA AMANI KWA TAIFA.

    November 07, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO NJOMBE MJINI AFUNGUA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA .

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 366 WAAPISHWA NA KUPATIWA MAFUNZO JIMBO LA NJOMBE MJINI.

    October 25, 2025
  • KUBWA KULIKO KUWAHI KUTOKEA NJOMBE MJINI

    October 20, 2025
  • Angalia zote

Video

TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe