• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

WAHITAJI UWEMBA WAFIKIWA

Tarehe iliyowekwa: September 4th, 2024

Katika jitihada za kusaidia jamii yenye uhitaji, Septemba 03, 2024 Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe imetoa msaada wa kiti mwendo kimoja (1) kwa watoto wenye ulemavu kwa familia ya Bi.Agneta Mlowe iliyopo kijiji cha Ikisa kata ya Uwemba.


Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe ,Afisa Ustawi wa Jamii Ndg.Petro Mahanza alieleza kuwa Seriakali imefanya jitihada za haraka mara baada yakuona taarifa ya wahitaji hao kwenye vyombo vya habari hivyo msaada huo ni sehemu ya juhudi za Serikali katika kuboresha hali ya maisha ya watu wenye ulemavu. 


Alisisitiza kuwa ni muhimu kwa jamii kuhakikisha kuwa kila mtu anapata fursa sawa ya kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii bila kujali hali yake ya kimwili. 



"Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi.Kuruthum Sadick baada yakupata  taarifa ya wahitaji hawa amechukua hatua za haraka nakutoa baiskeli,kwa kuwapa baiskeli  hawa wenzetu, tunawapa nafasi ya kuweza kutembea kutoka eneo moja kwenda eneo jingine kwa urahisi.Hii ni hatua muhimu katika kujenga jamii jumuishi ambapo kila mtu anathaminiwa," alisema Petro Mahanza ,Afisa ustawi wa Jamii Halmashauri ya Mji Njombe. 


Kwa upande wa familia wanufaika wa msaada huo pamoja nakuanisha mahitaji mengine walitoa shukrani zao kwa Ofisi ya Mkurugenzi na Serikali kwa ujumla kwa kuwafikia huku wakieleza kuwa kiti  mwendo  hicho kitasaidia kwa kiasi kikubwa kuboresha maisha yao na kuwapa uhuru zaidi. 


Tukio hilo lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Diwani wa Viti Maalum Tarafa ya Igominyi Mhe. Mariam Chundu pamoja na wanajamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NJOMBE TC AAGANA NA TIMU ITAKAYOCHEZA SHIMISEMITA.

    August 12, 2025
  • LISHE NA AKIBA YA MAZAO YAHIMIZWA NANENANE.

    August 08, 2025
  • KHERI YA SIKUKUU YA WAKULIMA 88 2025.

    August 08, 2025
  • ELIMU YA UNYONYESHAJI YATOLEWA KWA WAKAZI WA LWANGU

    August 05, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe