• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

WANAFUNZI WA KOZI YA 12 KUTOKA NDC WATEMBELEA MSITU WA LITONI

Tarehe iliyowekwa: January 15th, 2024

Wanafunzi wa kozi ya 12 kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa (National Defence College) Dar es salaam wanaofanya ziara yakujifunza kwa vitendo Mkoani Njombe, Januari 15,2014 wametembelea msitu wa Litoni (Litoni Forest Reserve)  uliopo kijiji cha Nundu kata ya Yakobi, Halmashauri ya Mji Njombe.Wanafunzi hao kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania, Zambia, Namibia, Kenya China na India, pamoja na mambo Mengine wamejifunza namna Wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) unavyohudumia msitu huo ambao una ukubwa wa hekari 200 kwa ajili ya uhifadhi wa vyanzo vya maji pamoja na misitu mingine inayopatikana ndani Wilaya ya Njombe. 


Asilimia 45 ya Msitu wa Litoni unaundwa maeneo ya miinuko yenye milima midogo na mabonde ambamo vinapatika vyanzo mbalimbali vya maji vinavyounda mito mitatu ambayo ni mto Litoni, Mafowono na Mangohera ambayo inatiririsha maji yake mto rufiji nakuwa sehemu ya mito inayochangia maji kwenye bwawa la kuzalisha umeme la Mwalimu Nyerere.


Aidha wamejifunza namna ambavyo mipak a ya msitu huo inavyolindwa pamoja na shughuli nyingine zinazofanywa na wakala ikiwemo kuhamasisha upandaji wa miti ili kutunza mazingira na kupunguza wananchi wanaovamia misitu kwa ajili ya kukata miti yakuzalisha nishati na matumizi mengine, matumizi sahihi ya ardhi, utunzaji shirikishi wa misitu kuzuia uchomaji wa misitu, pomoja mpango wakufanya ukaguzi kwenye misitu kwa njia za kidigitali


Awali Audatus Kashamakula Afisa Uhifdhi Wilaya ya Njombe alieleza kuwa Wakala unaendelea kushirikina na wananchi katika uhifadhi na unatoa shukrani  jamii ya Njombe kwa mwitikio mkubwa kwenye uhifadhi, ambao umepunguza shughuli za kibinadamu kwa kiasi kikubwa kwenye misitu pamoja na kupunguza visa vya kuchoma moto misitu hadi kufikian asilimia 10 kwa kipindi cha mika miwili iliyopita. 


Wanafunzi hao watatembelea maeneo mbalimbali mbalimbali kwenye Halmashauri za Mkoa wa Njombe kwa Lengo la kujifunza kwa vitendo na kujenga uelewa kuhusu Mkoa wa Njombe katika nyanja za kijamii kisiasa na kiuchumi katika maendeleo ya Nchi. 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe