• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Wananchi msifumbie macho vitendo vya ukatili kwenye jamii,toeni taarifa.

Tarehe iliyowekwa: June 20th, 2023

Wananchi wa kijiji cha Miva kata ya Luponde Halmashauri ya Mji Njombe wametakiwa kutofumbia macho vitendo viovu vya ukatili wa kijinsia vinavyo tokea katika jamii.

Rai hiyo imetolewa  Juni 19,2023 na Mkuu wa dawati la Jinsia na watoto wilaya ya Njombe Inspekta  Mary Kweta alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha miva katika kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika Halmashauri ya Mji Njombe.

Inspekta Mary amewaasa wananchi wa kijiji hicho kuto kujichukulia sheria mkononi  pale matendo maovu yanapojitokeaza ,badala yake watoe taarifa katika kamati za madawati ya jinsia zilizopo karibu na maeneo yao .

Akiendelea kuzungumza na wanachi hao Ispekta Mary Kweta ameisihi jamii kuhakisha inawajibika kutoa elimu ya vitendo vya ukatili kwa watoto na kuwafundisha mbinu mbalimbali zakujilinda.  

Kwa upande wake Oddo Msemwa Afisa Maendeleo Halmashauri ya Mji Njombe amesema Halmashauri imejipanga kuhakikisha vitendo viovu vya ukatili kwa watoto vinakomeshwa kwa kuanzisha mabara ya watoto kwa ngazi ya vijiji na kata, dawati la ulinzi na usalama wa mtoto ndani na nje ya shule pamoja kuimarisha vikundi vya malezi ya watoto kwenye jamii .

Naye Petro Mahanza Afisa Ustawi  wa Jamii Halmashauri ya Mji Njombe ameomba wanawake na wanaume ambao wanafanyiwa ukatili na wenza wao na wanao kimbia malezi kwa  watoto baada ya kuwazalisha wenza wao kuchuuliwa hatua

Nao wananchi washiriki kutoka kijiji cha Miva Faustin Mwalongo,Jofrey Kisswaga na Jorge Mgaya wameishukuru halmashauri ya mji njombe  kwa kuwapa elimu juu ya ukatili ambayo itaenda kuwasaidia kuwaepusha watoto na  vitendo viovu pamoja na kutoa taarifa kwa wakati pindi matatizo yanapojitikeza.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • SIKU NNE ZA KUSIKILIZA KERO NA MAONI YA WANANCHI LIMEHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.

    June 30, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe atoa wito kwa Wananchi kujitokeza kupata huduma Stendi ya Zamani.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe