• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

WANAWAKE TAFUTENI MAARIFA MJENGE UCHUMI WA FAMILIA.

Tarehe iliyowekwa: March 8th, 2024

Wanawake wametakiwa kutafuta maarifa yatakayowasaidia kuongeza kipato na kukuza uchumi kwenye  familia zao. 


Rai hiyo imetolewa na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka Machi 08,2024 katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani mwaka 2024 yaliyofanyika kimkoa katika kijiji cha Usita kata ya Ulembwe Wilayani Wanging’ombe. 


"Familia yeyote ile ni uchumi mnapofundisha kwenye kitchen party fundisheni kuhusu kujitambua, suala la malezi kwa watoto na kufanya kazi kwa bidii, ili kuinua uchumi na ustawi wa familia. "Alisema Mhe. Mtaka. 

Aidha amewataka wanawake walio kwenye  vikundi vya kuweka akiba na kukopeshana kuacha kukaa kwa mazoea na badala yake wafikiri namna ya kuongeza ujuzi na maarifa kwa kualika watu waliofanikiwa kwenye biashara  kuwapatia  elimu  na uzoefu kwenye safari ya mafanikio ili uwepo wao kwenye vikundi uwe  na tija katika kukuza uchumi wao. 


Mhe. Mtaka amesisitiza kuwa wanawake ni msingi wa familia na ili kudhirihisha msemo wa ukimwelisha mwanamke umeielimisha jamii ni lazima wanawake wakubali kurudi kwenye msingi wa malezi bora kwa watoto. 


"Mwanamke anauwezo mkubwa wa kumlea na kumjenga mtoto wa kike na wakaime, wanawake ni jeshi kubwa tengenezeni jeshi kubwa kwenye uchumu tumieni mkutano yenu ya wanawake kufundishana mambo ya msingi"Alisisitiza Mhe. Mtaka. 


Amewataka vijana wakiume kuwekeza muda wao kufanya kazi zitakazowajenga kiuchumi bila kusahau kuhudummia familia zao haswa watoto kwa kuhakikisha wanapata lishe bora.

Katika hatua nyingine amewahamasisha wanawake kugombea nafasi za uongozi na kuwaunga mkono wanawake wengine watakaojitokeza kuwania nafasi hizo kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2024. 


Kaulimbiu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani mwaka 2024 inasema "Wekeza kwa wanawake kuharakisha maendeleo ya Taifa na ustawi wa jamii".


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • SIKU NNE ZA KUSIKILIZA KERO NA MAONI YA WANANCHI LIMEHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.

    June 30, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe atoa wito kwa Wananchi kujitokeza kupata huduma Stendi ya Zamani.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe