• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Halmashauri ya Mji Njombe
Halmashauri ya Mji Njombe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Halmashauri ya Mji Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

WATENDAJI WA VIJIJI NA MITAA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI.

Tarehe iliyowekwa: July 5th, 2025

Na,Mario Mgimba

Julai 4, 2025  Watendaji wa vijiji, mitaa na kata katika Halmashauri ya Mji Njombe wamepatiwa mafunzo maalumu juu ya utekelezaji na matumizi ya Mfumo wa Anwani za Makazi (NaPA).

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo, Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Mji Njombe, Samson Medda, aliwataka watendaji wote kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao ipasavyo kama ilivyokusudiwa huku akisisitiza  utekelezaji wa mfumo huo ni agizo la serikali linalopaswa kuzingatiwa kwa umakini.


“Mfumo huu ni msingi wa maendeleo ya kidijitali na utaratibu wa kutoa huduma kwa wananchi ,Kwa mfano, wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na wanaoomba mikopo ya elimu ya juu watapata msaada mkubwa kupitia mfumo huu kwa kurahisisha upitishaji wa taarifa zao,” alisema Medda Afisa Utumishi

Mafunzo hayo yamelenga kujenga uwezo wa kitaalamu kwa watendaji  ili kuhakikisha kuwa mfumo huo unatekelezwa kwa ufanisi katika ngazi zote za utawala.


Aidha katika mfumo huo Watendaji wamefundishwa majukumu mbalimbali ya ikiwa ni pamoja na Utoaji na usajili wa majina ya barabara na mitaa ,Ukusanyaji na uhuishaji wa taarifa za Anwani za Makazi,

Uhamasishaji wa uwekaji wa vibao vya namba za nyumba na nguzo za majina ya barabara,kuweka mikakati ya ulinzi wa miundombinu ya mfumo huo, kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi ya Anwani za Makazi pamoja na Kuratibu utekelezaji wa mfumo katika maeneo yao ya kazi .

Mafunzo haya ni sehemu ya juhudi za kitaifa kuhakikisha kila mwananchi anapata anwani sahihi ya makazi, ambayo ni muhimu kwa mipango ya maendeleo, utoaji wa huduma bora na uboreshaji wa usalama.

Matangazo

  • KUITWA KAZINI NA MAFUNZO TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 21, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 19, 2025
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTAKA AONGOZA MAOMBI YA AMANI KWA TAIFA.

    November 07, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO NJOMBE MJINI AFUNGUA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA .

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 366 WAAPISHWA NA KUPATIWA MAFUNZO JIMBO LA NJOMBE MJINI.

    October 25, 2025
  • KUBWA KULIKO KUWAHI KUTOKEA NJOMBE MJINI

    October 20, 2025
  • Angalia zote

Video

TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe