• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

WAZAZI ZINGATIENI MAADILI KWA WATOTO

Tarehe iliyowekwa: December 20th, 2023

Jamii Mjini  Njombe imetakiwa kutilia mkazo katika maadili na malezi kwa watoto watakao lijenga taifa imara siku za mbeleni.

Hayo yamesema na Mwenyekiti wa Mtaa wa Kambarage Ndugu Francis Msanga katika mkutano wa robo ya mwaka wa mapato na matumizi pamoja na kujadili shughuli mbalimbali za maendeleo ya mtaa huo .


Katika mkutano huo Bwana  Francis Msanga Mwenyekiti wa Mataa amewaomba  wananchi wa mtaa huo kuhakikisha wanawatunza watoto vizuri ili kuepukana na watoto wanaopotea mitaani jambo ambalo linatia mashaka katika malezi ya watoto.

"Ndugu zangu wananchi watoto hawa tumewazaa sisi kwanini tuwa kimbie kulea,utakuta mama au baba akitoka asubuhi anawaza tu kazi zake anamsahamu hata mtoto wake anaendeleaje na anashinda na watu gani niwaombe sanaa wananchi ni muda sasa wa kupunguza starehe na tujikite katika malezi wa watoto tulio wazaa" Alisema Mwenyekiti wa Mtaa Kambarage Francis Msanga.


Kwa upande wake Nicodemass Phuni Mtendaji wa Mtaa wa Kambarage  amewaomba wananchi  wote kujitoa katika  kuchangia ujenzi wa zahanati ya Mtaa wa Kambarage ambayo kwa jitihada za wananchi tayati hatua za awali zimeanza kufanyika ambazo ni kusogeza mawe ,mchanga  pamoja na kuchangia ujenzi wa shule ya  Msingi Igeleke ujenzi ambao tayari umeanza kwa hatua za wali za kuchimba msingi , kung'oa visiki na kusogeza mawe .

Akiendelea kuzungunza na wananchi  mtendaji wa mtaa ametoa shukrani za dhati kwa Mbunge wa jimbo la Njombe Mjini Mhe .Deo  Mwanyika  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe, kampuni ya Mpete Agrovet ,Wananchi na Wadau wote walio wiwa kuchangia michango yao ujenzi wa zahanati na Shule ya Msingi Igeleke  kitu ambacho kitainua taalumua ya watoto na kuimarisha afya za wananchi mara baada ya kukamilika kwa miradi hiyo.

Naye Frorida Kiecha Polisi kata ya Njombe Mjini amewaomba wazazi na walezi katika kuelekea sherehe za kufunga mwaka kuwa makini na mienendo ya watoto ili wasiende katika  kumbi za starehe pamoja na kukemea vitendo viovu  vinavyo tokea katika jamii .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA VIJIJI NA MITAA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI.

    July 05, 2025
  • RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO,KINGA KWA MAENDELEO YA MIFUGO

    July 05, 2025
  • Dkt. Mhede azindua zoezi la chanjo ya ruzuku kwa mifugo Halmashauri ya Mji Njombe, dozi 227,000 kutolewa kwa ng'ombe na kuku

    July 05, 2025
  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe