• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Waziri Ummy Aipongeza Njombe kwa Makusanyo

Tarehe iliyowekwa: August 10th, 2021

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Ummy Mwalimu  ameipongeza Halmashauri ya Mji Njombe na Mkoa wa Njombe katika ukusanyaji wa mapato ya ndani ambapo amesema kuwa kwa kipindi cha mwaka 2020/2021  Njombe imeweza kuongoza kimakusanyo.


“Watendaji kazi wazuri lazima tuwatambue na tuwapandishe  vyeo. Napenda niwapongeze Baraza la Madiwani, Mheshimiwa Mbunge na Wataalamu kwani mmeweza kufanya kazi nzuri katika ukusanyaji mapato ya ndani ya Halmashauri. Sisi kama Ofisi ya Rais TAMISEMI tunawapongeza sana kwa kazi kubwa Mkoa wa Njombe mliyoifanya katika kutatua changamoto na ili uweze kutatua changamoto Mapato ya ndani ya Halmashauri ni muhimu sana.”Alisema Ummy Mwalimu

Aidha amezitaka Mamlaka za Mikoa kupitia kwa Makatibu Tawala Wasaidizi kuhakikisha kuwa wanazisimamia Halmashauri katika ukusanyaji wa mapato na matumizi na kuhakikisha kuwa wanashiriki na kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri zilizopo kwenye Mikoa yao hii ikiwa ni hatua ya Wizara hiyo kuziwezesha na kuziimarisha Sekretarieti za Mikoa.

Waziri Ummy ameendelea kusema kuwa licha ya kuwa Halmashauri zimekuwa zikifanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani bado kunaupotevu mkubwa wa mapato na kuzitaka Halmashauri kuendelea kutumia mifumo ya kielekroniki na mashine za kukusanyia mapato “POS” ili kudhibiti upotevu wa mapato katika Halmashauri hizo.

Katika ziara hiyo Waziri Ummy alitembelea katika Kituo cha Afya Makowo  ambapo amepongeza jitihada za Wananchi na Halmashauri kwenye kufanikisha ujenzi wa kituo hicho na ameahidi kutoa vifaa tiba vyenye thamani ya milioni 300, gari ya kubebea wagonjwa na Majengo mengine matatu yakiwemo jengo la Wodi ya Watoto, Wodi ya Wanaume na Wodi ya Wanawake na pia alitembelea katika Shule ya Sekondari Matola na kukagua ujenzi wa Barabara zinaojengwa katika Kata ya Utalingolo kupitia TARURA.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe