• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Taarifa ya Utekelezaji wa Miradi Mbali Mbali 2017

Start Date: 2016-07-01
End Date: 2017-06-30

 

Halmashauri ya Mji Njombe kwa mwaka wa fedha 2016/17  ilipanga kukusanya na kutumia kiasi cha Shilingi 12, 214, 205,100 kwa ajili ya utekelezaji wa programu mbalimbali za maendeleo. Kati ya fedha hizo Shilingi 10, 835, 160,100 ni   ruzuku   kutoka   serikali   kuu na Wahisani wa Maendeleo,  na Shilingi  1, 379, 045,000 ni mapato ya ndani. Kwa ujumla hadi kufikia tarehe 30/6/2017, Halmashauri iliweza kupokea na kukusanya  jumla ya Tsh. Sh. 9,960,776,540.52 sawa na 81.5% ya bajeti iliyoidhinishwa, ambapo kati ya fedha hizo Shilingi 8,740,141,438.28 ni ruzuku ya miradi ya maendeleo toka Serikali kuu na shilingi 1,220,635,102.24 ni mapato ya ndani. Aidha, Halmshauri imepokea jumla ya Shilingi 260,093,173.24 nje ya bajeti iliyoidhinishwa kwa ajili ya utekelezaji wa kampeni ya usajili na utoaji wa vyeti kwa watoto chini ya miaka 5 (Birth Registration) na ruzuku ya utendaji wenye matokeo (P4R).  Katika kipindi cha robo ya nne pekee halmashauri imeweza kupokea kiasi cha shilingi 3,266,103,966.45 (Ruzuku - 3,000,424,715.21 na mapato ya ndani - 265,679,251.24) kwa ajili ya miradi ya Maendeleo. Taarifa yake imeambatanishwa


Matangazo

  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 15, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 KWA SHULE ZA SEKONDARI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE December 21, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWENYE ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE March 25, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 06, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KITUO CHA AFYA MAKOWO CHAKABIDHIWA VIFAA TIBA

    March 04, 2023
  • SERIKALI YASAINI MIKATABA YA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAJI

    March 03, 2023
  • DC NJOMBE AKABIDHIWA MRADI WA VYUMBA VYA MADARASA

    December 08, 2022
  • SHAMRA SHAMRA MIAKA 61 YA UHURU NJOMBE WAANZA KWA USAFI SOKO KUU

    December 05, 2022
  • Angalia zote

Video

Makala ya utekelezaji miradi ya maendeleo 2020 Halmashauri ya Mji Njombe
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe