• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

COMPASSION Wamtembelea Mkurugenzi Mji Njombe na kumshukuru kwa misaada

Tarehe iliyowekwa: July 2nd, 2021

Ni ugeni wa Watoto kutoka katika Kituo cha kulelea Watoto Compassion ambao leo umefika katika Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe na kutoa shukrani kwa misaada mbalimbali ambayo Ofisi hiyo imekua ikiwasaidia katika kuishi na kuwapa mazingira bora ya kusoma wakiwa na mahitaji na vifaa vya Shuleni.

Akizungumza wakati wa kuwasilisha salamu hizo Mkurugenzi wa Shirika la Compassion Njombe Lucia Mlowe amesema kuwa kwa kipindi cha takribani miaka 6 Halmashauri imekuwa ikitoa misaada mbalimbali kwa ajili ya kusaidia kituo hicho jambo ambalo limekuwa likileta faraja kubwa kwa watoto hao.

“Nimekuja hapa nikiwa nimeambatana na hawa watoto kwani tumekuwa tukiwapokea katika kituo chetu kupitia Ustawi wa Jamii. Hawa Watoto ni wa Serikali na kupitia Ofisi ya Mkurugenzi tumekuwa tukipata mahitaji kama vyakula,vifaa  vya shuleni  na mahitaji mbalimbali jambo ambalo limesaidi kutatua changamoto za uendeshaji wa Kituo. Tulitaka pia waweze kuona maendeleo ya watoto wanaowahudumia na kuwalea.”Alisema Mlowe Mkurugenzi wa Kituo cha kulelea Watoto Compassion

Akizungumza kwa niaba ya Watoto hao James Mlowe mwanafunzi anayesoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari Mpechi na analelewa katika Kituo hicho amesema kuwa wanamshukuru Mkurugenzi kwa misaada ambayo amekuwa akiwasaidia kila wakati na wameiomba Serikali wakati wanapomaliza shule za Msingi na Kupangiwa Shule za Sekondari za Karibu ili kuweza kupata huduma kwa urahisi.

Aidha wamemwomba Mkurugenzi kuendelea kutoa misaada kwao na kwa wengine ambao wanahitaji misaada, kwani fursa waliyoipata itawawezesha wao kuwa raia wema na wenye kuleta maendeleo katika Nchi.

Mnamo tarehe 1 mwezi wa saba Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe aliweza kukabidhi vitu vyenye thamani ya shilingi milioni 2 laki moja kwa vituo vitatu vya kulelea watoto yatima vya Compassion, Imiliwaha na Don Bosco ambapo misaada hiyo ilihusisha magodoro,mafuta,sukari,mchele sabuni na vifaa vya Shuleni.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe