• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Naibu Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi ateta na Watumishi Ardhi Mkoa wa Njombe-Awataka kufanya kazi kwa uzalendo

Tarehe iliyowekwa: February 25th, 2021

Naibu Waziri wa Nyumba Maendeleo ya Makazi Mhe,Angelina Mabula amewataka Watumishi wote wa Idara ya Ardhi Mkoa wa Njombe kufanya kazi kwa uzalendo na kwa kasi kutokana na kasi ndogo ya umilikishaji na upimaji jambo linalopelekea Mkoa  kutokufanya vizuri. Hayo yalisemwa katika ziara yake katika Mkoa wa Njombe ambapo alipata nafasi ya kuzungumza na Watumishi.

 “Kasi ya kuwawezesha Wananchi kwenye  sekta ya ardhi bado ni ndogo.Wizara ya ardhi ni Wizara wezeshi katika kutekeleza miradi  mingine ya maendeleo.Kulingana na taarifa ya Mkoa kuna maeneo Halmashauri hazijafanya kazi yoyote alama za utekelezaji ni sifuri.Hii inaonyesha ni kwa jinsi gani Watumishi mmejisahau katika kuwahudumia Wananchi.Hii inasikitisha kwa stahili hii hatuwezi kufika”Alisema Naibu Waziri.

Aliendelea kusema kuwa Licha ya kuwa Idara ya Ardhi inasimamia Idara za ardhi kwenye Halmashauri katika ajira na nidhamu, hiyo haibadilishi Majukumu ya Wakurugenzi kuendelea kusimamia utekelezaji na utendaji kwa Watumishi hao kwani Halmashauri ndio Mamlaka za upangaji Miji.

Aidha alielezea kuwa kumekuwa na wadaiwa sugu wa kodi za ardhi lakini kumekuwa na ufuatiliaji usioridhisha kwa kutumia sheria za ardhi jambo linaloipotezea Serikali mapato na kuwafanya wadaiwa hao kufurahia huduma za ardhi bila kulipiwa jambo ambalo ni kinyume na sheria na kuwataka watendaji kuchukua sheria zinazotakiwa ili kutokomeza tabia hiyo.

Kuhusu uhaba wa watumishi katika Sekta ya Ardhi Mheshimiwa Mabula amesema kuwa ni vyema zikaundwa timu za Mkoa kwa kushirikiana na Wataalamu wa kila Halmashauri na kufanya kazi za upimaji  badala ya kutumia wapimaji wa Halmashauri pekee jambo ambalo litapelekea ongezeko la upimaji na hivyo kupelekea wigo wa kodi kuwa mkubwa.

Naibu Waziri amewataka Maafisa Mipango Miji kuhakikisha wanatambua vijiji ambavyo vinakuwa kwa kasi na hivyo kutengenza miji midogo midogo kuwapatia elimu na kuwaelekeza namna nzuri ya upangaji ili waweze kuipanga miji hiyo  badala ya kufanya ujenzi holela.

Katika ziara hiyo Mheshimiwa Mabula alipata nafasi pia ya kukabidhi hati za viwanja kwa Wananchi katika Kata za Njombe Mjini,Mjimwema na Ramadhani Halmashauri ya Mji Njombe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe