• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Wauza mali mbichi barabarani na kwenye magari Halmashauri ya Mji Njombe mwisho tarehe 08/03/2021-DC Msafiri

Tarehe iliyowekwa: February 19th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi. Ruth msafiri amewataka wafanyabiashara wote wanaofanya biashara ya kuuza mali mbichi katika maeneo yasiyo rasmi ikiwa ni barabarani na kwenye magari kuwa ifikapo tarehe 08/03/2021 watu hao wao wameondoka kwenye maeneo hayo na watakaokiukwa watakamatwa na kuchukiliwa hatua kwani Halmashauri ya Mji Nombe ina maeneo mengi na masoko ya kufanyia biashara. Hayo yalisemwa katika kikao cha ushauri cha Wilaya kilichowahusisha wadau wa maendeleo lengo ikiwa kujadili rasimu ya bajeti kwa mwaka 2021/2022.

‘Hatuitaji kufanya biashara nje ya maeneo rasmi.Kwa soko jipya tunanguvu ya kutosha hatuhitaji watu kufanya biashara maeneo yasiyo rasmi.Hatuwezi kuruhusu watu kutoa biashara zao nyumbani na sokoni  na kuja kuuzia barabarani .Hili halikubaliki tunamasoko ya kutosha na tunahitaji Mji wetu uendelee kuwa na rekodi ya usafi kama ilivyokuwa awali. Yapo pia magari yanayosimama na kununua mali mbichi barabarani nawasisitiza pia hayo sio masoko na mwisho ni tarehe 08/03/2021 mara baada ya muda huo kupita nitawakamata. Kwa wale wanaouuza matunda kwenye magari njooni  na vibali kama vipo tuone ni nani aliowaruhusu kufanya biashara kwenye magari.”Alisema Mkuu wa Wilaya

Wakitoa ushauri wao kwenye kikao hicho Mwenyekiti wa CCM Wilaya Edward Mgaya  amesema kuwa ni vyema ardhi ya iliyokuwa eneo la NJODECO kuchukua jukumu la kuichukua na baadae kuweza kutumika kwa ajili ya shughuli za uwekezaji.Kuweka mipango mizuri ya kurejesha viwanda. Kurejesha miundombinu

Baadhi ya wajumbe walioshiriki kwenye kikao hicho wameendelea kuipongeza Halmashauri kwa makusanyo mazuri na kuitaka Halmashauri kuweka mikakati na kubuni  vyanzo vipya vya mapato ikiwemo kutenga maeneo ya kuegesha malori,maeneo ya magulina maeneo ya michezo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Illuminatha Mwenda amesema kuwa yapo mengi ambayo Halmashauri ilitamani kufanya katika bajeti  lakini Halmashauri ilikuwa inatakeleza mradi wa soko, na kwa sasa imeanza kuangalia maeneo ya kuongeza mapato ikiwa ni sambamba na mali za eneo la NJODECO.

Mwenda ameendelea kusema kuwa mipango mizuri inaendelea kutekelezwa na Halmashauri  ikiwa ni sambamba na kuanza ujenzi wa vituo vya afya Luponde na Mjimwema na kuboresha ujenzi wa kituo cha afya Mjimwema.

Halmashauri ya Mji Njombe imeendelea na utaratibu wa kufanya vikao vya Kisheria kwenye kupitisha rasimu ya bajeti kwa mwaka 2021/2022.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe