• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Video za shughuli za ofisi au kitaifa

  • JE! UNA MASWALI KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA?

    September 18th, 2024
  • TAZAMA MUBASHARA TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    August 15th, 2024
  • NIMEONA YANAYOFANYIKA HUKO, KWETU YANAWEZEKANA PIA

    July 9th, 2024

    Mhe.Mwanaidi Ali Khamis Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Makundi Maalumu amepongeza kikundi cha Twaweza Kilichopo Kata ya Mji mwema Halmshauri ya Mji Njombe kwa kutumia Fursa za Mikopo ya asilimia 10 ambayo inatolewa na Halmashauri . 

    Naibu waziri ametoa Pongezi hizo Julai 05,2024 alipotembelea  eneo la uzalishaji la kikundi cha Twaweza ambacho  kinazalisha bidhaa mbalimbli za Ushonaji jambo ambalo limepelekea kuzalishwa kwa ajira nyingine ambazo zimetokana na mkopo huo ambao walipewa na Halmashauri .

     "Tumezoea kuyaona mambo haya China lakini kwa juhudi za Serikali tunayaona katika Nchi yetu niwapongeze vijana kwa uthubutu wenu wakufika na kujiunga na kikundi hiki na pia  niombe vijana kuweni mabalozi wazuri kwa wale ambao bado hawazijuwi fursa hizi " Alisema Mhe.Mwanaidi Ali Khamis Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Makundi Maalumu. 

    Aidha Mhe Naibu waziri ameiomba Idara ya Maendeleo ya Jamii kuendelea kutoa elimu juu ya ujio wa mikopo ya asilimia kumi ambayo itatolewa na Halmashauri kupitia Benki.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awasisitiza wenyeviti kuhimiza maadili na uadilifu katika uongozi

    February 14, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe