• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Video za shughuli za ofisi au kitaifa

  • DC SWEDA ATOA MAELEKEZO KWA MKANDARASI ANAETEKELEZA MRADI WA JENGO LA OPD KIBENA.

    July 1st, 2025

    Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Mhe. Juma Sweda, amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika Hospitali ya Mji Njombe – Kibena, kuhakikisha anazingatia masharti ya mkataba na kuongeza kasi ya ujenzi ili mradi huo ukamilike kwa wakati na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.Mhe. Sweda ametoa maelekezo hayo tarehe 19 Juni 2025, wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa sekta ya afya.Mradi huo unatekelezwa na Kampuni ya Hammakop ambapo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tayari  imetoa jumla ya shilingi milioni 900 zilizoanza utekelezaji wa mradi huo.Hospitali ya Mji Njombe ni miongoni mwa kongwe nchini ambazo zimepatiwa fedha na Serikali kwa lengo la kuboresha miundombinu yake ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita katika kuimarisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi.Mhe. Sweda ameongeza kuwa utekelezaji mzuri wa mradi huo utaleta unafuu mkubwa kwa wananchi wa Njombe wanaotegemea hospitali hiyo kwa huduma za afya za msingi.

  • DC SWEDA AKAGUA UJENZI WA SHULE MPYA YA MSINGI LUNYANYWI,APONGEZA NGUVU ZA WANANCHI KUIBUA MRADI

    July 1st, 2025

    Shule mpya ya Msingi Lunyanywi itaongeza usalama kwa watoto na kuwapunguzia wanafunzi wanaotoka Lunyanywi na maeneo jirani zaidi ya km 9 za kutembea kuifuata elimu katika shule ya Msingi Mjimwema.

  • MMEANZA VIZURI ,HAKIKISHENI UKAMILISHAJI UNAKUWA WA KIWANGO HIKI - DC SWEDA.

    July 1st, 2025

    Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Mhe. Juma Sweda, amewataka wafundi wanatekeleza mradi wa ujenzi wa bwalo la chakula katika shule ya Sekondari Yakobi kuhakikisha wanakamilisha kwa ubora uleule walioanza nao.Akizungumza Juni 18, 2025, wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa bwalo hilo, Mhe. Sweda amepongeza ubora wa kazi iliyofanyika hadi sasa, ambapo zaidi ya shilingi milioni 169  kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri zimeshatumika kutekeleza mradi huo ambao uko kwenye hatua za mwisho za ukamilishaji.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA NJOMBE TC. November 30, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUPANGISHA VYUMBA VYA BIASHARA SOKO KUU NJOMBE. September 05, 2023
  • BEI ELEKEZI ZA MBOLEA YA RUZUKU 2023/2024 October 12, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji Njombe yazindua wiki ya Mazingira kwa kufanya Usafi Idundilanga

    May 31, 2025
  • WATUMISHI WA DINI WATOA DUA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE

    May 31, 2025
  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe