• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Video za shughuli za ofisi au kitaifa

  • DC SWEDA AKAGUA UJENZI WA SHULE MPYA YA MSINGI LUNYANYWI,APONGEZA NGUVU ZA WANANCHI KUIBUA MRADI

    July 1st, 2025

    Shule mpya ya Msingi Lunyanywi itaongeza usalama kwa watoto na kuwapunguzia wanafunzi wanaotoka Lunyanywi na maeneo jirani zaidi ya km 9 za kutembea kuifuata elimu katika shule ya Msingi Mjimwema.

  • MMEANZA VIZURI ,HAKIKISHENI UKAMILISHAJI UNAKUWA WA KIWANGO HIKI - DC SWEDA.

    July 1st, 2025

    Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Mhe. Juma Sweda, amewataka wafundi wanatekeleza mradi wa ujenzi wa bwalo la chakula katika shule ya Sekondari Yakobi kuhakikisha wanakamilisha kwa ubora uleule walioanza nao.Akizungumza Juni 18, 2025, wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa bwalo hilo, Mhe. Sweda amepongeza ubora wa kazi iliyofanyika hadi sasa, ambapo zaidi ya shilingi milioni 169  kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri zimeshatumika kutekeleza mradi huo ambao uko kwenye hatua za mwisho za ukamilishaji.

  • MNGEWACHUKIA VIONGOZI KWA MICHANGO - DC SWEDA.

    July 1st, 2025

    Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe.Juma Sweda Juni 18,2025 alifanya ziara Halmashauri ya Mji Njombe na kukagua utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa matundu ya vyoo na mabweni katika shule ya Sekondari Matola,miradi inayotekelzwa kwa fedha zaidi ya Milioni 280 kutoka serikali kuu na mapato ya ndani ya Halmashauri.Katika ziara hiyo alipongeza juhudi zinazofanywa na Serikali kwa kutoa fedha zinazotumika kuboresha miundombinu mbalimbali kwenye sekta ya elimu na afya jambo ambalo linaondoa usumbufu kwa wananchi kuchangia shughuli za maendeleo.Katika kipindi cha miaka 5 ,zaidi ya shilingi Bilioni 1.5 zimetumika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kata ya Matola katika sekta ya Elimu na Afya.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA NJOMBE TC. November 30, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUPANGISHA VYUMBA VYA BIASHARA SOKO KUU NJOMBE. September 05, 2023
  • BEI ELEKEZI ZA MBOLEA YA RUZUKU 2023/2024 October 12, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awasisitiza wenyeviti kuhimiza maadili na uadilifu katika uongozi

    February 14, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe