• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Video za shughuli za ofisi au kitaifa

  • KIU ILIKUWA KUSOGEZEWA HUDUMA KARIBU,TUNASHUKURU HUDUMA ZOTE ZINATOLEWA HAPA - NOLASCO MTEWELE.

    June 13th, 2025

    Diwani wa Kata ya Kifanya, Mhe. Nolasco Mtewele, amesema kuwa wananchi wa kata hiyo sasa wamepata kile walichokitamani kwa muda mrefu, kituo cha afya chenye huduma kamili, ikiwemo jengo la kuhifadhia maiti (mortuary) ambalo tayari limekamilika na linaendelea kutoa huduma.Mhe. Mtewele ameeleza kuwa kukamilika kwa jengo hilo ni hatua muhimu katika kuboresha huduma za afya kwa wananchi wa Kifanya, huku akitoa pongezi kwa serikali na wadau wote walioshiriki kufanikisha mradi huo.Kwa muda mrefu, wananchi wa kata ya kifanya na maeneo jirani walikuwa wakikabiliwa na changamoto ya kukosa huduma ya uhifadhi wa miili, hali iliyolazimu baadhi kusafiri umbali wa kilomita 50 kuifikia Hospitali ya Mji Njombe Kibena.

  • ELIMU KUHUSU UMILIKI WA ARDHI,CHUKUA HATUA MILIKI ARDHI YAKO KISHERIA.

    June 13th, 2025

    Wananchi wa kijiji cha Mfereke walipatiwa elimu ya umiliki wa ardhi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika ofisi za kijiji  kwa lengo la kupeana taarifa za maendeleo ya kijiji pamoja na kuwajengea wananchi uelewa kuhusu masuala ya ardhi kama njia mojawapo ya kuimarisha maendeleo ya kijiji.Katika mkutano huo, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ardhi na Mipango miji H/Mji Njombe, Emmanuel Luhamba alitoa elimu kuhusu masuala ya ardhi ikiwemo umuhimu wa kupanga, kupima na kumiliki ardhi kisheria pamoja na faida zake kiuchumi na kijamii. Elimu hiyo imelenga kuwajengea uelewa wakazi wa Mfereke kuhusu matumizi bora ya ardhi na nafasi ya ardhi katika kuinua kipato chao.

  • NIDHAMU NDIO KILA KITU KWENYE UTUMISHI : ROBERT SANGA

    June 13th, 2025

    Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Mji Njombe, Bw. Robert Sanga, ametoa wito kwa watumishi wapya waliokuwa wakijitolea katika Kitengo cha Ardhi kuzingatia nidhamu na maadili ya kazi katika ajira zao mpya Serikalini.Bw. Sanga alitoa wito huo wakati wa hafla fupi ya kuwaaga watumishi hao iliyoandaliwa na Kitengo cha Ardhi, ikiwa ni sehemu ya pongezi na kutambua mchango wao katika kuleta maendeleo kwa Halmashauri ya Mji Njombe.




  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI DAFTARI LA MPIGA KURA December 31, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI, HALMASHAURI YA MJI NJOMBE AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    February 11, 2025
  • Vikundi vilivyopatiwa mikopo vyatakiwa kuzitumia kwa miradi iliyokusudiwa

    February 05, 2025
  • Bilioni 1.8 zatolewa mkopo kwa vikundi 111 vya wanawake, vijana na wenye ulemavu.

    February 05, 2025
  • Watumishi wa Idara ya Afya Njombe wapewa mafunzo ya mfumo wa GoTHoMIS.

    February 04, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe