Wafugaji kutoka maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji Njombe wametoa shukrani kwa Serikali kwa kuwawezesha kufuga kwa tija.
Fuatana na Mkulima wa mbogamboga aliyeamua kulima mbogamboga ambazo zilionekana hazistawi mjini Njombe akielezea namna alivyonufaika na kilimo cha mbogamboga kwa kutumia kitalu nyumba na kupunguza matumizi ya viuawadudu vyenye kemikali
Ni mkulima kutoka kijiji cha Iboya kilichopo Halmashauri ya Mji Njombe ,aliyefanikiwa kupitia ufugaji wa kuku wa mayai.Mfugaji huyu anaelezea namna alivyofanikiwa kutatua changamoto na mbinu alizozitumia kufikia kuweza kufuga kuku 3000 kwa wakati mmoja.
Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe