• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Video za shughuli za ofisi au kitaifa

  • NATOA SIKU 4 WAFANYAKAZI WALIPWE -DC KISSA

    July 9th, 2024

    Mkuu wa Wilaya Njombe Mhe. Kisa Gwakisa Kasongwa amempa siku nne mmiliki wa kampuni ya Chai  ya DL Group kiwanda cha  Luponde kuhakikisha analipa madai ya wafanyakazi wake wote  ndani ya siku 4. 

    Ametoa agizo hilo  Julai 02 ,2024 alipoyembelea kiwandani hapo nakuzunhumza na wananchi pamoja na wafanyakazi ambapo Mhe Kisaa Kasongwa kampuni hiyo haiwatendei haki watumishi wake kwani ni miezi minne wameganya kazi bila malipo. 

    “Nimekuja kuwasikiliza wananchi wangu ambao mmekuwa mkipaza sauti niombe muwe wavumilivu huku Serikali ikiwa inapambania maslahi yenu ,nampa siku 4  mmiliki wa kiwanda hiki kuhakikisha anawalipa wafanyakazi wake wote ambao wanawadai Pamoja na kuwalipa mafao yao ya NSSF” Alisema Mkuu wa Wilaya Njombe Mhe Kissa Gwakisa Kasongwa. 

    Amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Kilimo itakuja na suluhisho la kudumu kuhusu mwekezaji huyo.

  • FEDHA ZIMETOLEWA HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA.

    July 9th, 2024
  • TUKIFANYA HIVI TUTAPUNGUZA KWA KIASI KIKUBWA VIFO VYA WATOTO WACHANGA - DKT.RASHIDI MFAUME

    July 9th, 2024

    Waganga wakuu wa Halmashauri za Mkoa wa Njombe wameshauriwa kuiga mfano kwa kuweka kitengo  maalum cha huduma kwa  watoto wanaozaliwa na uzito pungufu (Njiti) katika hospitali za Wilaya kama ilivyo  katika hospitali ya Mji Njombe (Kibena), ili kuendelea  kupunguza vifo vya watoto wachanga.

    Ushauri huo umetolewa Julai 1,2024 na Mkurugenzi wa huduma za Afya lishe na Ustawi wa Jamii akiwa ameambatana na timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI) iliyofika hospitali mji wa Njombe(Kibena) ,kukagua hali ya utoaji wa huduma za Afya nakuona  uwepo wa vyumba maalum vyenye vifaa vya kisasa kwa ajili yakuwahudumia watoto wanaozaliwa na uzito pungufu (Njiti) na changamoto nyingine za afya.

    Kitengo cha kuhudumia watoto wanaozaliwa na uzito pungufu (Njiti) kipo ndani ya jengo la mama na mtoto  lililojengwa kwa gharama ya shilingi milioni 173.3 ,fedha iliuojumuisha michango ya wananchi ,fedha kutoka TASAF, fedha za mapato ya ndani na michango ya wadau wa maendeleo.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mkuu wa Mkoa wa njombe awataka wenyeviti wa vijiji na mitaa kuweka maslahi ya jamii mbele

    February 14, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awataka wenyeviti wa vijiji na mitaa kusimamia maendeleo na ustawi wa wananchi

    February 14, 2025
  • Wanafunzi 100 wapatiwa vifaa vya shule na Halmashauri ya Mji Njombe.

    February 14, 2025
  • Shilingi Milioni 15 zatumika kununua taulo za kike kwa wanafunzi 8,554 Njombe TC

    February 14, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe