• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Video za shughuli za ofisi au kitaifa

  • TUKIFANYA HIVI TUTAPUNGUZA KWA KIASI KIKUBWA VIFO VYA WATOTO WACHANGA - DKT.RASHIDI MFAUME

    July 9th, 2024

    Waganga wakuu wa Halmashauri za Mkoa wa Njombe wameshauriwa kuiga mfano kwa kuweka kitengo  maalum cha huduma kwa  watoto wanaozaliwa na uzito pungufu (Njiti) katika hospitali za Wilaya kama ilivyo  katika hospitali ya Mji Njombe (Kibena), ili kuendelea  kupunguza vifo vya watoto wachanga.

    Ushauri huo umetolewa Julai 1,2024 na Mkurugenzi wa huduma za Afya lishe na Ustawi wa Jamii akiwa ameambatana na timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI) iliyofika hospitali mji wa Njombe(Kibena) ,kukagua hali ya utoaji wa huduma za Afya nakuona  uwepo wa vyumba maalum vyenye vifaa vya kisasa kwa ajili yakuwahudumia watoto wanaozaliwa na uzito pungufu (Njiti) na changamoto nyingine za afya.

    Kitengo cha kuhudumia watoto wanaozaliwa na uzito pungufu (Njiti) kipo ndani ya jengo la mama na mtoto  lililojengwa kwa gharama ya shilingi milioni 173.3 ,fedha iliuojumuisha michango ya wananchi ,fedha kutoka TASAF, fedha za mapato ya ndani na michango ya wadau wa maendeleo.

  • TUMEONA MAZURI HAPA KIBENA - DKT.RASHIDI MFAUME

    July 9th, 2024

    Mkurugenzi wa huduma za Afya  lishe na Ustawi wa Jamii kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt.Rashidi Mfaume Julai 1,2024 wakati wa Ziara ya ukaguzi wa huduma za Afya katika Halmashauri ya Mji Njombe ,ametoa pongezi  kwa hospitali ya Mji wa Njombe(Kibena) kwa kuwa na  kitengo cha mfano cha kuhudumia watoto wanaozaliwa na uzito pungufu (Njiti) pamoja na usimamizi mzuri wa usafi wa mazingira uliowezesha hospitali hiyo kushika nafasi ya pili kwenye tuzo za usafi wa mazingira mwaka 2023.

  • TUMEPOKEA USHAURI, TUTAUFANYIA KAZI.

    July 9th, 2024
  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UFAFANUNIZI KUHUSU TAARIFA ISIYO SAHIHI YA MICHANGO SHULENI

    August 28, 2025
  • JUMLA YA SHILINGI BILIONI 21 ZATOLEWA KWA VIJANA WANAWAKE NA WALEMAVU

    August 27, 2025
  • Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Zainabu Katimba,Agosti 23,2025 ameongoza ufunguzi wa mashindano ya 40 ya Shirikisho la Michezo ya Serikali za Mitaa (SHIMISEMITA) mwaka 2025 na kutoa maagizo kadhaa kwa viongozi na washiriki wote

    August 23, 2025
  • Kamati ya Ulinzi na Usalama yakagua Miradi ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi 759,680,028

    September 22, 2025
  • Angalia zote

Video

IFAHAMU HUDUMA YA KIPEKEE INAYOPATIKANA NDANI YA SOKO KUU NJOMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe