Tarehe iliyowekwa: June 20th, 2023
Wananchi wa kijiji cha Miva kata ya Luponde Halmashauri ya Mji Njombe wametakiwa kutofumbia macho vitendo viovu vya ukatili wa kijinsia vinavyo tokea katika jamii.
Rai hiyo imetolewa Juni 19,...
Tarehe iliyowekwa: June 20th, 2023
Halmashauri ya Mji Njombe imepongezwa kwa kuwa na usimamizi bora wa rasilimali fedha ulioiwezesha kupata hati safi kutoka kwa mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 20...
Tarehe iliyowekwa: June 13th, 2023
Wazazi na walezi mkoani Njombe wametakiwa kutoa kipaumbele kwenye suala la lishe bora ili kuondokana na udumavu.
Rai hiyo imetolewa na Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. David Ntai...