Tarehe iliyowekwa: November 17th, 2024
Na.Ichikael Malisa.
TAREHE 17,Novemba 2024 Halmashauri ya Mji Njombe imeadhimisha Siku ya Watoto Njiti duniani kwa mara ya kwanza, ikiwa ni juhudi za kuhamasisha na kutoa elimu kwa jamii kuhu...
Tarehe iliyowekwa: November 15th, 2024
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa fedha zaidi ya shilingi Milioni 583 kwa ajili ya kutekeleza mpango wa kujenga Shule Mpya ya Sekondari ya Amali katika Halmashauri ya Mji Njombe.
...
Tarehe iliyowekwa: November 13th, 2024
Na.Mario Mgimba.
Halmashauri ya Mji Njombe imesaini mkataba na kampuni ya Ubaruku Construction Company Limited (UCCL) kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya barabara katika Kata ya Njombe Mjini.
...