Tarehe iliyowekwa: February 28th, 2024
Watendaji wa kata za Halmashauri ya Mji Njombe wametakiwa kuendelea kuhamzsisha na kutoa elimu ya lishe bora kwa wananchi ili kufanikisha kampeni yakupunguza udumavu mkoani Njombe.
...
Tarehe iliyowekwa: February 28th, 2024
Wanafunzi wa kike 8,552 wa Shule za Msingi na Sekondari Halmashauri ya Mji Njombe wamepatiwa taulo za kike zenye thamani ya shilingi milioni 15,000,000/= zitakazoenda kuboresha maendeleo ya taaluma za...
Tarehe iliyowekwa: February 27th, 2024
Februari 27,2024 Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini Mhe. Deo Mwanyika akiongozana , Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe Thadei Luoga pamoja na watalamu wa Halmashauri wamapokea ugeni kutoka ...