Tarehe iliyowekwa: December 2nd, 2020
Halmashauri ya Mji Njombe imetoa kiasi cha Shilingi milioni mia saba laki tisa kwa vikundi 72 vya kiuchumi vya Wanawake, Vijana na Walemavu kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2020/2021.
Kiasi ...
Tarehe iliyowekwa: June 11th, 2020
Halmashauri ya Mji Njombe imekabidhi meza na viti 280 vyenye thamani ya Shilingi milioni ishirini na tatu laki mbili na elfu arobaini kwa ajili ya Shule 4 za Sekondari zilizopo katika Halmashauri hiyo...
Tarehe iliyowekwa: June 6th, 2020
Akiwasilisha taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kwa Mwaka 2018/2019 Mweka Hazina wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi. Dorcas Mkello amesema kuwa Halmashauri ilipata Hati inayoridhisha (Hati S...