Tarehe iliyowekwa: April 27th, 2024
Wazee wa Kijiji cha Lwangu kilichopo kata ya Kifanya, Halmashauri ya Mji Njombe, wametakiwa kutoa taarifa za ukatili mara zinapotokea ili kuepukana na madhara makubwa yanayotokana na ukatili wa ...
Tarehe iliyowekwa: March 24th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe.Kissa Kasongwa amewataka wananchi wote mkoani Njombe kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa kifua kikuu (TB) ambao umekuwa ukisumbua mamia ya watu nchini.
Akizu...
Tarehe iliyowekwa: March 22nd, 2024
Halmashauri ya Mji Njombe imetoa zawadi ya shilingi laki tano na cheti kwa shule ambazo zimefanya vizuri kwenye mtihani ya taifa kwa mwaka 2023
Akizungumza Machi 22,2024 mara baada ya ugawaji w...