Tarehe iliyowekwa: March 1st, 2024
Kuelekea Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Halmashauri ya Mji Njombe imefanya mdahalo katika chuo cha maendeleo ya wananchi mjini Njombe kujadili jitihada za Serikali kwenye maendeleo na kumwinu...
Tarehe iliyowekwa: February 28th, 2024
Watendaji wa kata za Halmashauri ya Mji Njombe wametakiwa kuendelea kuhamzsisha na kutoa elimu ya lishe bora kwa wananchi ili kufanikisha kampeni yakupunguza udumavu mkoani Njombe.
...
Tarehe iliyowekwa: February 28th, 2024
Wanafunzi wa kike 8,552 wa Shule za Msingi na Sekondari Halmashauri ya Mji Njombe wamepatiwa taulo za kike zenye thamani ya shilingi milioni 15,000,000/= zitakazoenda kuboresha maendeleo ya taaluma za...