Tarehe iliyowekwa: September 10th, 2024
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe, Mhe. Erasto Mpete, ametoa wito kwa wazazi wote wa Halmashauri ya Mji Njombe kuwapa uhuru na utulivu watoto wa darasa la saba watakaofanya mitihani yao ya kumal...
Tarehe iliyowekwa: September 4th, 2024
Katika jitihada za kusaidia jamii yenye uhitaji, Septemba 03, 2024 Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe imetoa msaada wa kiti mwendo kimoja (1) kwa watoto wenye ulemavu kwa familia ya Bi.A...
Tarehe iliyowekwa: August 30th, 2024
Wajumbe wa Baraza la Madiwani wamepongeza wataalamu wa Halmashauri ya Mji Njombe kwa maandalizi mazuri ya taarifa ya Hesabu za Mwisho wa Mwaka wa fedha 2023/2024.
Wakizun...