Tarehe iliyowekwa: February 26th, 2024
Baraza kuu la Waheshimiwa Madiwani Halmashauri ya Mji Njombe Februari 26,2024 limekaa kujadili rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha ujao wa 2024/2025 ambapo limepitisha bajeti ya shilingi bil...
Tarehe iliyowekwa: February 25th, 2024
Februari 25,2024 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Ndugu Kuruthum Sadick, amezindua awamu ya tatu ya zoezi la ugawaji wa kinga tiba dhidi ya Usubi kwa Halmashauri ya Mji Njombe.
...
Tarehe iliyowekwa: February 24th, 2024
Kampeni ya siku 14 za usafi ndani na nje ya soko kuu la Mji wa Njombe iliyoanza Februari 13,2024 imehitimishwa Leo Februari 24,2024 na Viongozi mbalimbali akiwemo Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Njombe ...